GE2025 Ombi: JWTZ tunaomba muingilie kati kinachoendelea nchini

GE2025 Ombi: JWTZ tunaomba muingilie kati kinachoendelea nchini

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Tareh 29 Vipi? Mbona tena kuomba msaada kwa jeshi? 😂 Halafu jeshi haliendeshwi kwa hisia zenu kwamba kila mtu anaejua kuitukana serikali basi huyo ndio mzalendo? Kwenu hata kama baba yako anakosea ila kupita kumtukana na kumkashifu mtandaon sio adabu sembuse rais ambae ana watu na majeshi? Jifunzeni adabu kwanza ili hata siku mukipewa nchi muheshimiwe...
Nakaribisha matusi ya aina zote coz zaidi ya matusi hamuna hoja nyingne.
 
Hali ni mbaya sana, hakuna kiongozi ndani ya taifa? What's she doing anaacha nchi inaenda kiholela namna hii and she's quiet, kweli?
 
Tareh 29 Vipi? Mbona tena kuomba msaada kwa jeshi? 😂 Halafu jeshi haliendeshwi kwa hisia zenu kwamba kila mtu anaejua kuitukana serikali basi huyo ndio mzalendo? Kwenu hata kama baba yako anakosea ila kupita kumtukana na kumkashifu mtandaon sio adabu sembuse rais ambae ana watu na majeshi? Jifunzeni adabu kwanza ili hata siku mukipewa nchi muheshimiwe...
Nakaribisha matusi ya aina zote coz zaidi ya matusi hamuna hoja nyingne.
ww Tz una serikali gan ss hv ? wale ni majambaz , wao waliunda katiba inayosema mamb yote ya usalama wa raia na mali zao yatasimamiwa na polisi na mahakama itatoa hukumu ila leo hii wanavunja sheria walizoweka wao wenyew , hapo kuna serikali au majanga?
 
Unaongelea hawa Wanajeshi wanaotoa Escort kwa madalali na mafisaid wa Taifa kwa malipo ya saa au jeshi lipi


Tuwen serious muda mwingine hakuna kitu ili jeshi litafanya...


Kumbuka CDF Kachaguliwa na huyu mama na alikuwa hata sio Favorite candidate kwa sababu alikuwa meja General sisi tukiwapigia hesabu maluten General Kachaguliwa kuwa CDF

Kwahiyo hakuna jipya na hili Tanzania yangu

Kama Melo alivyosema kwenye Interview tutapiga kelele miezi kadhaa then tunasahau
Achana na hao unaodhani hao siyo wenyewe, wanajeshi wenyewe na ambao wapo nyuma ya Captain Tesha wapo pale Monduli na hapo Morogoro kambini kwao C T.
 
Tareh 29 Vipi? Mbona tena kuomba msaada kwa jeshi? 😂 Halafu jeshi haliendeshwi kwa hisia zenu kwamba kila mtu anaejua kuitukana serikali basi huyo ndio mzalendo? Kwenu hata kama baba yako anakosea ila kupita kumtukana na kumkashifu mtandaon sio adabu sembuse rais ambae ana watu na majeshi? Jifunzeni adabu kwanza ili hata siku mukipewa nchi muheshimiwe...
Nakaribisha matusi ya aina zote coz zaidi ya matusi hamuna hoja nyingne.
Mbina unajihami mdogo wangu!.

Wewe comment kisha waachie walaji bana wewe, sikia sasa.

Katika moja ya ustahimilivu kwa kiongozi ni kupokea kila aina ya ubaya na wema, babako akiwa anakupenda wewe na mwingine anamchukia basi elewa kabisa alikuwa hajafikia viwango 'nasema viwango' vya kuwa baba.

Hivi unaelewa maana ya KATIBA, unajua lakini hicho kitabu na istihaki zake?

Je, nani anakiheshimu hicho kitabu?. Haya hiyo rais kuwa na mamlaka yote inaweza kuwa sababu ya kuruhusu wanao wengine usiowapenda kunyimwa chakula? NOOO!.

Rais panoja na kuwa kiongozi (kumiliki) nchi hapaswi kuwa convertible to citizens bana wewe.

Kipindi cha mzee ruksa si alipigwa hadi kwa kiatu na raia, je yule raia alitekwa na kupotezwa?.
 
Nchi sasa hivi inaendeshwa na wahalifu tu kama Haiti
Kuna siku nilikutana na mada moja kule Quora ilikuwa inahusu kwanin kuna uhalifu mkubwa sana kwenye nchi nyingi za South America...

Jamaa mmoja ambaye kwa ID anayotumia kule anaonekana ni raia wa kule kule South America akasema kuwa...

....Kwa nchi kama Colombia hili Raisi amalize muhula wake hata mmoja ni lazima aongoze kwa kufuata conditions za viongozi wa magenge ya uhalifu, tofauti na hapo atakula shaba mchana kweupe... yaan ukiona Raisi amemaliza muhula wake ujue amekubali kuishi vizuri na zile drug cartels.

Akaongezea akasema kule muhalifu haiogopi kabisa serikali, bali anamuogopa muhalifu mwenzie.

...Sasa naona na hapa kwetu hayo maisha yanatunyemelea, yaani hili Raisi adumu madarakani ni lazima akubali kufuata conditions za wahuni/wana mtandao.

Sasa hivi imefika mahali raisi wetu anawaogopa zaidi wahuni/wana mtandao kuliko hata wanainchi, yaan yeye anaamini usalama wake umeshikiliwa na wahuni na wanainchi hawana cha kumfanya.
 
Sina maneno mengi.

Jeshi la Wananchi wa Tanzania nyie ndiyo wenye last action juu ya ulinzi wa kila kitu kilichopo ndani ya nchi hii, chini majini au juu ya uso wa dunia ndani ya mipaka ya taifa letu.

Inafahamika, nyie hamuegemei popote.

Ila kwa wanayoendelea sasa hakika kwa heshima na taadhima ingilieni kati kuokoa taifa hili.

Taifa limekosa mtu wa mwenye last say hivyo kuna vijana wamejipa uzee wanaharibu taifa, ambalo lilipo sasa ni kama linaelekea shimoni.

Mimi tu raia mmoja huku mkoani kwetu napata joto kali kwa haya yanayoendelea nchini hasa kwa kutekwa ovyo raia ambao nyie ndiyo wenye jukumu la kuwalinda.

Kama jeshi la polisi limeshindwa kuwalinda raia hao basi chukueni hatua za haraka kuokoa nchi.

Nitarudi.
Nawasilisha.
Jeshi Gani? Aliyekuambia nchi Ina jeshi ni nani?
 
Washsema hawataki kujihuasha na siasa, kwann mnawalazimisha?

kama wananchi wanaogopa kulikomboa Taifa lao, Nani atawakomboa? Nani atakua mbuzi wa kafara?

JWTZ liendele kupiga mazoezi huko huko porini huku likilinda mipaka, huku ndani wasio julikana watuue mpaka akili zitukae
 
Kuna siku nilikutana na mada moja kule Quora ilikuwa inahusu kwanin kuna uhalifu mkubwa sana kwenye nchi nyingi za South America...

Jamaa mmoja ambaye kwa ID anayotumia kule anaonekana ni raia wa kule kule South America akasema kuwa...

....Kwa nchi kama Colombia hili Raisi amalize muhula wake hata mmoja ni lazima aongoze kwa kufuata conditions za viongozi wa magenge ya uhalifu, tofauti na hapo atakula shaba mchana kweupe... yaan ukiona Raisi amemaliza muhula wake ujue amekubali kuishi vizuri na zile drug cartels.

Akaongezea akasema kule muhalifu haiogopi kabisa serikali, bali anamuogopa muhalifu mwenzie.

...Sasa naona na hapa kwetu hayo maisha yanatunyemelea, yaani hili Raisi adumu madarakani ni lazima akubali kufuata conditions za wahuni/wana mtandao.

Sasa hivi imefika mahali raisi wetu anawaogopa zaidi wahuni/wana mtandao kuliko hata wanainchi, yaan yeye anaamini usalama wake umeshikiliwa na wahuni na wanainchi hawana cha kumfanya.
Ni kweli kwa yanayoendelea tutafika tu huko
 
Back
Top Bottom