Leo nimehitimisha uchunguzi wangu usio rasmi. Nilichoona ni kuwa idadi ya omba omba jijini Dar imeongezeka. Na mamlaka husika sijui Wana mkakati gani kuwaondoa hawa ndugu zetu.
Hili ni tatizo kwa ustawi wa jamii.
Hatua za madhubuti zichukuliwe kwa taifa lililo kwenye uchumi wa kati
Hili ni tatizo kwa ustawi wa jamii.
Hatua za madhubuti zichukuliwe kwa taifa lililo kwenye uchumi wa kati