Omary mauno wa Tanga mjini barabara ya 11

Omary mauno wa Tanga mjini barabara ya 11

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
372,714
Reaction score
863,613
Katika hali isiyokuwa ya kawaida jamaa mmoja wa barabara ya 11 Tanga mjini aitwaye Omary amejikuta kwenye kadhia ya ajabu ya kukata viuno kila anaposalimiwa baada ya kufumaniwa na mke wa mtu
Omary hivi sasa kila anopoongea na mtu anakata viuno mithili ya feni bovu, hali hiyo imemfanya apewe jina la Omary mauno ambaye ameacha kabisa kuvaa suruali anavaa kanzu tuu
Mbali na hilo Omary amesema hali hiyo ya kukata viuno miuno imemchosha na huwa mbaya zaidi anapoketi hutumia nguvu nyingi kuepusha kiuno kisikatike automatically
Kutokana na hali hiyo Omary mauno amelazimika kujifungia ndani mara kwa mara na kutojibu salam yoyote kuhofia kukata viuno miuno... Amekuwa mpweke na aliyejitenga kabisa

NB: ndugu zangu members wa JF mliopo Tanga chondechonde na vimwana wa huko wana wenyewe...hatutaki mrudi Dar mnavibrate katikati kila tukiwasalimia
 
mshana jr huyu omari yupo wapi kwa sasa, umemuona au umehadisiwa?

Barabara ya 11 Tanga 1439568306623.jpg
 
Last edited by a moderator:
Katika hali isiyokuwa ya kawaida jamaa mmoja wa barabara ya 11 Tanga mjini aitwaye Omary amejikuta kwenye kadhia ya ajabu ya kukata viuno kila anaposalimiwa baada ya kufumaniwa na mke wa mtu
Omary hivi sasa kila anopoongea na mtu anakata viuno mithili ya feni bovu, hali hiyo imemfanya apewe jina la Omary mauno ambaye ameacha kabisa kuvaa suruali anavaa kanzu tuu
Mbali na hilo Omary amesema hali hiyo ya kukata viuno miuno imemchosha na huwa mbaya zaidi anapoketi hutumia nguvu nyingi kuepusha kiuno kisikatike automatically
Kutokana na hali hiyo Omary mauno amelazimika kujifungia ndani mara kwa mara na kutojibu salam yoyote kuhofia kukata viuno miuno... Amekuwa mpweke na aliyejitenga kabisa

NB: ndugu zangu members wa JF mliopo Tanga chondechonde na vimwana wa huko wana wenyewe...hatutaki mrudi Dar mnavibrate katikati kila tukiwasalimia

Du hata kama zongo, ndo zongo gani hilo?
 
Inasimama lakini? Maana kama network inasoma atakuwa soo kwa mademu
 
Ungeweka na video ingenogesha story , kabla ya sheria ya mitandao kuwa efffective.
 
Nice place to visits

Kuna siku nilienda huko nikakuta hoteli moja ambapo vitanda vya vyumba vyote viko ktkt ya chumba na pia kuna onyo kali kwamba usidhubutu kuhamisha kitanda hadi pembeni kama tulivyozoea. Kwa kweli nilichoka na kutafuta sehemu nyingine.
 
Back
Top Bottom