ChizzoDrama
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 1,317
- 1,235
PhD , ndo kujua sana mambo?Uwe unatafakari kabla ya kuandika. Huwezi kumuandikia mtu PhD akasoma ujinga kama huo.
Jitahidi kuwa na uandishi mzuri sio kukurupuka.
PhD , ndo kujua sana mambo?Uwe unatafakari kabla ya kuandika. Huwezi kumuandikia mtu PhD akasoma ujinga kama huo.
Jitahidi kuwa na uandishi mzuri sio kukurupuka.
Watabaki wanaulizana imekuwajeMfukuzeni Halima & Cos muone madhara yake.Itawagharimu kwa miaka 25 kurudi kwenye reli


Kura feki zipo Nchi nzima kila kona lakini unaenda nazo mahakama ipi? hakuna mahakama ya kwenda au kama wataruhusu watumie mahakama za Nchi zingineMkuu, unajua hili la Kura feki linafikirisha Sana na lina maswali mengi majibu yake ni kidogo ukilinganisha na maswali,
Hivi Ilikuwaje Kura feki zikamatwe na wa CHADEMA halafu ni kituo kipi na Nani aliyekamatwa nazo hata hajulikani
Kwa nini zinskamatwa na kuchomwa Moto papo hapo badala ya kuwa zifanyike ushahidi wa kupeleka Mbele ya pilato na aliyekutwa nazo wote wakaenda kujibu,mbona ilifanyika hivyo mkuu
Pamoja na kuwa na PhD amesahau nukta haifutwi kwa kukoreza winoUsingemcharukia jamaa hivyo, aisee! "memento homo" --- remember you are only human!

Vipi china ni kituko?Mkuu, nchi ikiosa upinzani itakuwa kituko!
Ni upinzani ukoje, hiyo ndiyo logic
Phd za bongo ni za kusaka uteuzi hazina uwezo wa kuwaza tena zimefirisika zotePhD , ndo kujua sana mambo?
Nani anaweza kuamini kampeeni meneja wa Lissu, mh. sana Binanga, mkwewe anaweza amka asubuhi kwenda Dodoma kuapa pasipo yeye kuwa na habari😁😁CCM wanapowatetea kina Mdee wasipewe adhabu na chama chao..think twice!!
Tangu lini mademu wa UVCCM wakawa wana uandishi mzuri ?Uwe unatafakari kabla ya kuandika. Huwezi kumuandikia mtu PhD akasoma ujinga kama huo.
Jitahidi kuwa na uandishi mzuri sio kukurupuka.
Uchumi wa china ni tofauti na uchumi wa Tanzania na China hukuti kiongozi kuchukua pesa Hazina kibabe kufanya manunuzi kama Tanzania ambapo kiongozi humpa Amri Gavana wa BOT kutoa pesa bila ridhaa wala idhini ya wananchi wenye pesa zaoVipi china ni kituko?
Mgonjwa anakunywa uji huko bahari beach kwenye kikao tunasubiria report ya daktariSjiu leo ndo itakuwa maziko!!!
Hata hivyo mgonjwa anaroho ngumu kama yapaka
Wasipoeatoa Covid19 CHADEMA imekwisha mazimaHahaha suluhu ya chama ni kutokomeza COVID-19, bila hivyo kimekufa.
Tatizo la mbowe ni ndumila kuwili sana huku anata ruzuku na huku anasaka heshima ya chama moja lazima limponyokeHuu ndio mtihani mzito Kwa Mbowe na Chadema aisee
Politics is different.Chasema inahitaji kuwa sehemu ya mfumo iwe ni kwa njia haramu au halali.SWALI ni je Kwa mfumo gani?Kwa utaratibu gani?Kumbuka wanapofanya maamuzi hawafanyi kama wewe kwa ushabiki.Kuna constraints nyingi ikiwemo mahitaji ya hao ambao wametakiwa kupewa nafasi hizo na hali zao.kama chama kinaongozwa na Katiba na Sheria hakuna jambo gumu hapo, hivi unajua hata itokee Mbowe kafukuzwa kwa kosa hilo bado CHADEMA itapata nguvu kuliko kubaki na viti maalum.
Covid 19 ni pandikizi la CCM kuiua CHADEMA mazimaNguvu iliyo nyuma ya sakata hili ni CCM na serikali yake. Ndiyo maana wengi wanaowashabikia wasaliti hawa ni viongozi na wanachama wa CCM. No more, no less.
CHADEMA ikisalia na hao Covid19 itadidimia sana kwani tayari wanachama wa CHADEMA wamechukizwa sana kauli za kejeli za mdee kwa Uongozi wa CHADEMAPolitics is different.Chasema inahitaji kuwa sehemu ya mfumo iwe ni kwa njia haramu au halali.SWALI ni je Kwa mfumo gani?Kwa utaratibu gani?Kumbuka wanapofanya maamuzi hawafanyi kama wewe kwa ushabiki.Kuna constraints nyingi ikiwemo mahitaji ya hao ambao wametakiwa kupewa nafasi hizo na hali zao.
If you ask me.LET the ladies GO and the party should find anothe way ya kuwanidhamisha ambayo haitaathiri uanachama wao bali itawajenga katika nidhamu.
Mbona una hama maada ? Ndivyo tunavyo paswa kujenga hojaUchumi wa china ni tofauti na uchumi wa Tanzania na China hukuti kiongozi kuchukua pesa Hazina kibabe kufanya manunuzi kama Tanzania ambapo kiongozi humpa Amri Gavana wa BOT kutoa pesa bila ridhaa wala idhini ya wananchi wenye pesa zao
Sawa kabisa. CCM wasijidanganye kuwa CHADEMA itakufa Mbowe akifukuzwa. CHADEMA itazidi kumea na kusitawi hata bila ya Mbowe. Upinzani utaendelea kukomaa ndani ya mioyo ya raia kutokana na matendo hasi yanayofanywa na CCM.kama chama kinaongozwa na Katiba na Sheria hakuna jambo gumu hapo, hivi unajua hata itokee Mbowe kafukuzwa kwa kosa hilo bado CHADEMA itapata nguvu kuliko kubaki na viti maalum.
Haijalishi Mkuu,Siasa sio dini.Kuwafukuza uanchame hakutafanya CDM iwe imara na wala kuwaacha nafikiri lazima tujifunze kufanya siasa na tuachane na mihemuko.CHADEMA haina wanachama.Wangekuwepo wangeingia road kudai uchaguzi au ushindi wao.HUO NDO UKWELI MCHUNGU.Chadema ikisalia na hao covid 19 itadidimia sana kwani tayari wanachama wa chadema wamechukizwa sana kauli za kejeli za mdee kwa Uongozi wa chadema
Mtasubiri sana. Covid-19 anatokomezwa leo kabla ya saa 10.Mgonjwa anakunywa uji huko bahari beach kwenye kikao tunasubiria report ya daktari