NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,281
- 24,064
CCM wanatest mitambo ya baada ya uchaguzi.
Mkuu, unajua hili la Kura feki linafikirisha Sana na lina maswali mengi majibu yake ni kidogo ukilinganisha na maswali,Mlivyokuwa mnaingiza kura fake kule Kawe na kwingineko hamkujua kuwa nchi itakosa upinzani?
Wewe bhana kuwa serious basi. Hukuziona zile alizokuja nazo Lissu na Zito kwenye press conference? Nachukia kweli watu wanaojitoa ufahamu. Kura fake mbona nyingi tu zimeonyeshwa ukiachilia zile zilizochomwa moto kule Kawe!Mkuu, unajua hili la Kura feki linafikirisha Sana na linamaswali mengi majibu yake ni kidogo ukilinganisha na maswali,
Hivi Ilikuwaje Kura feki zikamatwe na wa Chadema halafu ni kituo kipi na Nani aliyekamatwa nazo hata hajulikani
Kwa nini zinskamatwa na kuchomwa Moto papo hapo badala ya kuwa zifanyike ushahidi wa kupeleka Mbele ya pilato na aliyekutwa nazo wote wakaenda kujibu,mbona ilifanyika hivyo mkuu
PHD ndio nini?UWE UNATAFAKARI KABLA YA KUANDIKA. HUWEZI KUMUANDIKIA PHD AKATOMA UJINGA KAMA UO.
JITAHIDI KUWA NA UANDISHI MZURI SIO KUKURUPUKA.
such a tough question my dearJua na mvua Bora nini??
Yaani leo eti mpaka gazeti lao la UHURU limewapongeza Mdee na wenzake??? Can you imagine???CCM wanapowatetea kina Mdee wasipewe adhabu na chama chao..think twice!!
Aliondoka kichwa Dr Slaa, Zitto etc ndiyo itakuwa hawa mburula wa viti maalum?? Kwa CHADEMA ilipofikia hata akifukuzwa Mbowe wataendelea, si umejionea mwenyewe mtiti wa kampeni wa Lissu?Mfukuzeni Halima & Cos muone madhara yake.Itawagharimu kwa miaka 25 kurudi kwenye reli
ukurasa wa 3 wame post habari FAKE YA EU kuipongeza tanzania ,ofisi y aEU wameikana nimepost hapa uzi ulifutwa ndani ya dakika nusuYaani leo eti mpaka gazeti lao la UHURU limewapongeza Mdee na wenzake??? Can you imagine???
kama chama kinaongozwa na katiba na sheria hakuna jambo gumu hapo, hivi unajua hata itokee Mbowe kafukuzwa kwa kosa hilo bado CHADEMA itapata nguvu kuliko kubaki na viti maalum.
Mkuu, mbona mkali tena mkuuNyie lumumba mnamfundisha nani kazi? fungeni midomo yenu.
Mkuu, duniani kote wasaliti Wapo tuBora ubaki na mwanachama mmoja mwadilifu na mkweli kuliko kubaki na wanachama 1000 wasaliti, waovu na waongo