Ole wenu CHADEMA mkajidanganya

H
Ole wenu CHADEMA!!

Mtihani huu uliopo CHADEMA ndio utakaoamua msitakabali wa Chama hicho, ama Chama kiendelee kuwepo kikiwa na nguvu ileile ama kuzikwa rasmi ikiwa hekima haitatumika kuamua mgogoro huo

Wengi wenu mnamuona Mdee,Bulaya, Matiku na wenzao walioapa bungeni juzi, Lakini aminini kwamba, kuna kundi na nguvu kubwa iliyo nyuma Yao na ndani Yao ni viongozi wandamizi chamani

Maamuzi yenye Hekima pekee ndiyo yatakayoifanya CHADEMA iendelee kuwepo!!

Swali ni Je!

Ni nani atakuwa mwamuzi katika Hilo ikiwa baadhi ya viongozi ngazi za juu kabisa nao wamo kwenye skendo hii??

Jua na mvua Bora nini??
Hii huruma na nia njema kwa CDM imetoka wapi? Shetani kazini!
 
H

Hii huruma na nia njema kwa CDM imetoka wapi? Shetani kazini!
Mkuu siasa zetu mdomoni si nzuri, Ila ki uhalisia, mioyo inasema, upinzani ni wa mhimu kuliko maneno yanayotutoka mkuu

Upinzani ndio engine ya kusukuma maendeleo mkuu, usiangalie uwingi wa maneno yanayotutoka wanasiasa
 
Kuna vimitego ambavyo wanasiasa na Vyama hupenda kutegeana, Chama kikiingia mtegoni, kinadhoofu, lakini bado, hiyo sio Nia ya kuuwa upinzani, ni kudhofishana tu, na hili, Tayari Chadema wamekubali kuingia mtego huo, linalofuata ni Chama kudhoofu na waspoangalia, kidonda hiki kinaweza kuchukua muda ndipo kipate nafuu
 
Mkuu siasa zetu mdomoni si nzuri, Ila ki uhalisia, mioyo inasema, upinzani ni wa mhimu kuliko maneno yanayotutoka mkuu

Upinzani ndio engine ya kusukuma maendeleo mkuu, usiangalie uwingi wa maneno yanayotutoka wanasiasa
Kuanzia Leo nitaanza kuheshimu mawazo yako, kumbe unajua kila kitu kinachohusu siasa, na umuhimu wa siasa za ushindani.
Je, huko CCM ni wewe pekee unayejua haya au mko wengi?
 
Mkuu siasa zetu mdomoni si nzuri, Ila ki uhalisia, mioyo inasema, upinzani ni wa mhimu kuliko maneno yanayotutoka mkuu

Upinzani ndio engine ya kusukuma maendeleo mkuu, usiangalie uwingi wa maneno yanayotutoka wana

Mkuu siasa zetu mdomoni si nzuri, Ila ki uhalisia, mioyo inasema, upinzani ni wa mhimu kuliko maneno yanayotutoka mkuu

Upinzani ndio engine ya kusukuma maendeleo mkuu, usiangalie uwingi wa maneno yanayotutoka wanasiasa
Ni kweli.Ila tatizo si maneno ya wanasiasa tu bali nchi kwa ujumla wetu. RAIA TUMEWEKEZA ZAIDI KWA WANASIASA,AMBAO WENGI WAO MWL.NYERERE ALIWAITA "wenye tabia za malaya".
 
Back
Top Bottom