Ole wenu CHADEMA mkajidanganya

Ole wenu CHADEMA mkajidanganya

Hivi unakumbuka uongozi wa BAVICHA karibu wote uliwahi timuliwa. Viongozi zaidi ya 8, kelele kma hzi zilikuja mara ooh vijana wataisusa..... Chama kitakufa.

But miaka 8 sasa imepita na CHADEMA kimezidi kukua. So to hell na hao BAWACHA......
 
Kaondoka Slaa na bado ccm inategemea Tiss, tume ya uchaguzi nk kutangazwa washindi kwenye uchaguzi, ndio itakuwa hao wahuni?
Aiseee ile press ya Dr Slaa nilidhani CHADEMA imezikwa rasmi. Ila kwa jinsi alivyopuuzwa na ''nyomi'' la karatu alipotua Lowassa nikajua CHADEMA ni kubwa kuliko individual yeyote yule.

Nani alitishia uhai wa CHADEMA kuliko Zitto? Leo hii anaweza linganisha nguvu aliyonayo ACT na zile enzi zake za CHADEMA?

Ni hivi upinzani upo CHADEMA, ukishajitoa tu unapuuzwa kma Komu na Lwakatare.
 
Hivi unakumbuka uongozi wa BAVICHA karibu wote uliwahi timuliwa. Viongozi zaidi ya 8, kelele kma hzi zilikuja mara ooh vijana wataisusa..... Chama kitakufa.

But miaka 8 sasa imepita na CHADEMA kimezidi kukua. So to hell na hao BAWACHA......
BAVICHA kuijenga ni Rahisi tofauti na hii ya BAWACHA!!

Viongozi hao BAWACHA ni mzizi uliosehemu kubwa ya shina mkuu
 
Wawafukuze hao Covid19 19 ili CHADEMA ife Lumumba na CCM wafurahi.

Kwa wapinzani ni wapinga maendeleo
 
Ni hivi yoyote aliyekubali kupata fahari za shetani hatakiwi, piga chini maana nguvu ya cdm ni sisi wapiga kura wao,na tuko tayari kwa mamuzi ya kuwapiga chini wahuni wote walioungana na shetani. Kwakuwa shetani ana nguvu ya muda mfupi, awarudishe kwa kiburi cha madaraka.
Upo sahihi mkuu.
Nguvu ya CDM ipo kwetu wanachama na huo msimamo wa kuwafukuza ndio msimamo wetu
 
Aiseee ile press ya Dr Slaa nilidhani CHADEMA imezikwa rasmi. Ila kwa jinsi alivyopuuzwa na ''nyomi'' la karatu alipotua Lowassa nikajua CHADEMA ni kubwa kuliko individual yeyote yule.

Nani alitishia uhai wa CHADEMA kuliko Zitto? Leo hii anaweza linganisha nguvu aliyonayo ACT na zile enzi zake za CHADEMA?

Ni hivi upinzani upo CHADEMA, ukishajitoa tu unapuuzwa kma Komu na Lwakatare.
Mimi naamini Zitto alishazika Political career yake baada ya kutoka CHADEMA.

From there hata system ilishamuignore anachukuliwa kama busy body tu.
 
Bavicha kuijenga ni Rahisi tofauti na hii ya Bawacha!!

Viongozi hao Bawacha ni mzizi uliosehemu kubwa ya shina mkuu
CHADEMA kimetapakaa nchi nzima kiufupi kila kata Tanzania bara nimekuta kuna BAWACHA yenye uongozi na sekretarieti kamili.

Mind you jana na juzi wametoa press release mikoa zaidi ya 20 wakilaani kitendo cha kina Mdee.

Sasa BAWACHA ipi itakufa? Au viongozi 8 wa BAWACHA ndio wana nguvu kuliko mamilion ya wana BAWACHA kitaifa?
 
Hakuna cha hekima hapo.
Hadi sasa hakuna updates za kikao chochote. Si kuhusu Halima ama Mbowe aliyetajwa na Halima.
 
Ole wenu chadema!!

Mtihani huu uliopo Chadema ndio utakaoamua msitakabali wa Chama hicho, ama Chama kirndelee kuwepo kikiwa na nguvu ileile ama kuzikwa rasimi ikiwa hakima haitatumika kuamua mgogoro huo

Wengi wenu mnamuona Mdee,Bulaya, Matiku na wenzao walioapa bungeni juzi, Lakini aminini kwamba, kuna kundi na nguvu kubwa iliyo nyuma Yao na ndani Yao ni viongozi wandamizi chamani

Maamzi yenye Hekima pekee ndiyo yatakayoifanya Chadema iendelee kuwepo!!

Swali ni Je!

Ni nani atakuwa mwamuzi katika Hilo ikiwa baadhi ya viongozi ngazi za juu kabisa nao wamo kwenye skendo hii??

Jua na mvua Bora nini??
Jua na mvua bora vyote!
 
Back
Top Bottom