Ole wenu CHADEMA mkajidanganya

Ole wenu CHADEMA mkajidanganya


Umenifanya nicheke kijinga na kukumbuka mbali sana, so wewe unataka mgonjwa akate roho kizembe zembe tu
Ni Kwa sababu kaugua siku nyingi Sana mkuu, watu wanasubiri maziko tu, na Ndiyo Maana leo huwenda ikawa ndio rasimi maziko yanafanyika
 
Ole wenu chadema!!

Mtihani huu uliopo Chadema ndio utakaoamua msitakabali wa Chama hicho, ama Chama kirndelee kuwepo kikiwa na nguvu ileile ama kuzikwa rasimi ikiwa hakima haitatumika kuamua mgogoro huo

Wengi wenu mnamuona Mdee,Bulaya, Matiku na wenzao walioapa bungeni juzi, Lakini aminini kwamba, kuna kundi na nguvu kubwa iliyo nyuma Yao na ndani Yao ni viongozi wandamizi chamani

Maamzi yenye Hekima pekee ndiyo yatakayoifanya Chadema iendelee kuwepo!!

Swali ni Je!

Ni nani atakuwa mwamuzi katika Hilo ikiwa baadhi ya viongozi ngazi za juu kabisa nao wamo kwenye skendo hii??

Jua na mvua Bora nini??
Baki nao huko huko CCM
 
MaCCM kila dakika mnaleta UZI wa mambo ya kuwatetea wasaliti wa CHADEMA.
Wameunga juhudi wanakuja CCM si ndio maana ya kuunga miguu na mikono yote.
 
Mfukuzeni Halima & Cos muone madhara yake.Itawagharimu kwa miaka 25 kurudi kwenye reli
Kwani Halima ni nani mpaka kumfukuza kwake kugharimu kwa miaka 25. Wamefukuzwa itakuwa Mdee? Slaa ameondoka itakuwa Bulaya?
 
Hacha kutosha watu hapa,kwamba Kuna nguvu ipo nyuma yao kuliko wanachama, wenye chama Chao,iko ivi hata Mbowe akigundulika kahusika ni kumtimua,
CHADEMA,ni chama kimeacha wajane na mayatima, katika kukilinda chama,watu wamekua virema,alafu unakuja hoja nyepesi hapa
Wafukuzwe haraka Sana, tuone nguvu yao Kama ni kubwa kuliko chama, nguvu ya hao ni nyepesi Sana ,Slaa aliondoka sembuse hao
CHADEMA Mkitaka kuhua chama wavumilieni hao,fukuza haraka, tupo tunasubili press, na nimeamini chadema kiboko maana joto mikoani sio la kawaida,fukuza hao wakatafute vyama vingine Kama mbwai mbwai
 
Maamuzi yanakuwa mepesi iwapo nchi au taasisi inaendeshwa kwa kufuata misingi ya sheria na kanuni walizojiwekea wenyewe. Lakini hilo linaonekana kufutika kutokana na kauli yako mwenyewe: "Kuna watu wazito nyuma ya akina Halima na wenzake."

Kama tunavyoshuhudia uvunjifu mkubwa wa katiba na sheria hivi sasa, kwa kauli yako, tunaongozwa kwa matakwa ya watu wazito wasiojali sheria tulizojiwekea wenyewe. Ni kweli hiyo ndiyo hali inayoendelea kwa sasa. Mtizamo wa wakubwa (kwa maslahi yao binafsi) ndio katiba, sheria, kanuni ya nchi, taasisi, n.k.

Nchi imetumbukia ktk pori kubwa kwenye giza totoro, alafu viongozi wamevaa miwani ya jua, huku wakiamini hisia zao zitatutoa porini bila ramani mkononi. Jamaani twafaaaa!
 
Maamuzi yanakuwa mepesi iwapo nchi au taasisi inaendeshwa kwa kufuata misingi ya sheria na kanuni walizojiwekea wenyewe. Lakini hilo linaonekana kufutika kutokana na kauli yako mwenyewe: "Kuna watu wazito nyuma ya akina Halima na wenzake."

Kama tunavyoshuhudia uvunjifu mkubwa wa katiba na sheria hivi sasa, kwa kauli yako, tunaongozwa kwa matakwa ya watu wazito wasiojali sheria tulizojiwekea wenyewe. Ni kweli hiyo ndiyo hali inayoendelea kwa sasa. Mtizamo wa wakubwa (kwa maslahi yao binafsi) ndio katiba, sheria, kanuni ya nchi, taasisi, n.k.

Nchi imetumbukia ktk pori kubwa kwenye giza totoro, alafu viongozi wamevaa miwani ya jua, huku wakiamini hisia zao zitatutoa porini bila ramani mkononi. Jamaani twafaaaa!
Mkuu, Sheria zipo ili kulinda haki lakini pia zipo ili zivinjwe na kuleta mtafaruku Kati ya jamii na jamii
 
Mfukuzeni Halima & Cos muone madhara yake.Itawagharimu kwa miaka 25 kurudi kwenye reli
Hakuna madhara yoyote..hawana nguvu hiyo ni kama papa ukimtoa baharini analiwa tu na ugali
 
Maamuzi ya busara katika hili ni yapi? Hasa kwa utashi wako kama ungelikua na nafasi
 
Back
Top Bottom