Sjiu leo ndo itakuwa maziko!!!
Hata hivyo mgonjwa anaroho ngumu kama yapaka








Umenifanya nicheke kijinga na kukumbuka mbali sana, so wewe unataka mgonjwa akate roho kizembe zembe tu
Sjiu leo ndo itakuwa maziko!!!
Hata hivyo mgonjwa anaroho ngumu kama yapaka








Ni Kwa sababu kaugua siku nyingi Sana mkuu, watu wanasubiri maziko tu, na Ndiyo Maana leo huwenda ikawa ndio rasimi maziko yanafanyika
Umenifanya nicheke kijinga na kukumbuka mbali sana, so wewe unataka mgonjwa akate roho kizembe zembe tu
huyo halima akwende huko ccm watajitokeza wengine aache kibri na jeuri ndani ya chamaMfukuzeni Halima & Cos muone madhara yake.Itawagharimu kwa miaka 25 kurudi kwenye reli
kwahiyo magufuli alipokuwa anasema sitaki msiniletee wapinzani wanachelewesha maendeleo alikuwa kituko siyoMkuu, nchi ikiosa upinzani itakuwa kituko!
Ni upinzani ukoje, hiyo ndiyo logic
Baki nao huko huko CCMOle wenu chadema!!
Mtihani huu uliopo Chadema ndio utakaoamua msitakabali wa Chama hicho, ama Chama kirndelee kuwepo kikiwa na nguvu ileile ama kuzikwa rasimi ikiwa hakima haitatumika kuamua mgogoro huo
Wengi wenu mnamuona Mdee,Bulaya, Matiku na wenzao walioapa bungeni juzi, Lakini aminini kwamba, kuna kundi na nguvu kubwa iliyo nyuma Yao na ndani Yao ni viongozi wandamizi chamani
Maamzi yenye Hekima pekee ndiyo yatakayoifanya Chadema iendelee kuwepo!!
Swali ni Je!
Ni nani atakuwa mwamuzi katika Hilo ikiwa baadhi ya viongozi ngazi za juu kabisa nao wamo kwenye skendo hii??
Jua na mvua Bora nini??
Labda sasahivi wamegeuka waleta maendeleo?kwahiyo magufuli alipokuwa anasema sitaki msiniletee wapinzani wanachelewesha maendeleo alikuwa kituko siyo
Kwani Halima ni nani mpaka kumfukuza kwake kugharimu kwa miaka 25. Wamefukuzwa itakuwa Mdee? Slaa ameondoka itakuwa Bulaya?Mfukuzeni Halima & Cos muone madhara yake.Itawagharimu kwa miaka 25 kurudi kwenye reli
Ni mzizi uliojichimbia saaana Kwa upande wa wanawake mkuu!!Kwani halima ni nani mpaka kumfukuza kwake kugharimu kwa miaka 25. Wamefukuzwa itakuwa mdee? Slaa ameondoka itakuwa bulaya?
Covid 19 ni noma dogo atapotea ajiuzulu
Covid 19 ni mzizi mkuu uliojichimbia zaidiKwani halima ni nani mpaka kumfukuza kwake kugharimu kwa miaka 25. Wamefukuzwa itakuwa mdee? Slaa ameondoka itakuwa bulaya?
Mkuu, Sheria zipo ili kulinda haki lakini pia zipo ili zivinjwe na kuleta mtafaruku Kati ya jamii na jamiiMaamuzi yanakuwa mepesi iwapo nchi au taasisi inaendeshwa kwa kufuata misingi ya sheria na kanuni walizojiwekea wenyewe. Lakini hilo linaonekana kufutika kutokana na kauli yako mwenyewe: "Kuna watu wazito nyuma ya akina Halima na wenzake."
Kama tunavyoshuhudia uvunjifu mkubwa wa katiba na sheria hivi sasa, kwa kauli yako, tunaongozwa kwa matakwa ya watu wazito wasiojali sheria tulizojiwekea wenyewe. Ni kweli hiyo ndiyo hali inayoendelea kwa sasa. Mtizamo wa wakubwa (kwa maslahi yao binafsi) ndio katiba, sheria, kanuni ya nchi, taasisi, n.k.
Nchi imetumbukia ktk pori kubwa kwenye giza totoro, alafu viongozi wamevaa miwani ya jua, huku wakiamini hisia zao zitatutoa porini bila ramani mkononi. Jamaani twafaaaa!
Hakuna madhara yoyote..hawana nguvu hiyo ni kama papa ukimtoa baharini analiwa tu na ugaliMfukuzeni Halima & Cos muone madhara yake.Itawagharimu kwa miaka 25 kurudi kwenye reli
Kweli kabsa wafukuzwe covid 19 hawafaiBora ubaki na mwanachama mmoja mwadilifu na mkweli kuliko kubaki na wanachama 1000 wasaliti, waovu na waongo