Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ole Sendeka ni mlamba asali,
- Mbunge wa Simanjiro,. Ole Sendeka leo bungeni amemtetea RAIS Samia Suluhu Hassan kuwa hahusiki na ufisadi wa ripoti ya CAG akipiga kauli ya Waziri Mwigulu aliyejaribu kumhusisha rais na wizi huo kwamba etii Rais ndio anaidhinisha fedha kutoka.
Huyo yuko hivyo katika maslahi yake hutetea bila kujali athari zake; jifunzeni namna alivyo pindua meza baada ya kubananishwa na Riz huko Kiteto kuhusu ardhi alishitaki kwa baba yake ambaye ni rafiki wa huyu mwamba wa CCM maslahi mpaka mtoto kisiki kilichoshika rimoti kikakubali ahamishwe wizara. Nchi hii imeshikiliwa maamuzi yake na watu wa ajabu sana
- Mbunge wa Simanjiro,. Ole Sendeka leo bungeni amemtetea RAIS Samia Suluhu Hassan kuwa hahusiki na ufisadi wa ripoti ya CAG akipiga kauli ya Waziri Mwigulu aliyejaribu kumhusisha rais na wizi huo kwamba etii Rais ndio anaidhinisha fedha kutoka.
Anamtetea ili hali ndo ukweli wenyewe kuwa stupid number moja ni raisi wa jamhuri wa muungano
Sio lugha stahiki na sio kweli kwa Madame President?Anamtetea ili hali ndo ukweli wenyewe kuwa stupid number moja ni raisi wa jamhuri wa muungano