Ole Sabaya Yuko Wapi? Kila Mahali Haonekani!

Ole Sabaya Yuko Wapi? Kila Mahali Haonekani!

Toka atenguliwe na itangazwe anachunguzwa DC mwenye tuhuma Ole Sabaya haonekani popote sio nyumbani sio vituo vya polisi.

Sisi watu wa habari tulitaka kufanya naye mahojiano naye kupata habari zake za ukweli tofauti na mahojiano aina ya Clouds media.

Sasa hivi Sabaya ni mtu maarufu sana hasa katika nyanja ya kuwa Mwanasiasa Jambazi hivyo kupata mahojiano naye atashare na wengine uzoefu wake kwenye nyanja hiyo.

Au naye kesha chukuliwa na watu wasio julikana?

Anayefahamu atujulishe tumfate tukamilishe lengo letu
Nime note point moja - Mwanasiasa jambazi.
 
Toka atenguliwe na itangazwe anachunguzwa DC mwenye tuhuma Ole Sabaya haonekani popote sio nyumbani sio vituo vya polisi.

Sisi watu wa habari tulitaka kufanya naye mahojiano naye kupata habari zake za ukweli tofauti na mahojiano aina ya Clouds media.

Sasa hivi Sabaya ni mtu maarufu sana hasa katika nyanja ya kuwa Mwanasiasa Jambazi hivyo kupata mahojiano naye atashare na wengine uzoefu wake kwenye nyanja hiyo.

Au naye kesha chukuliwa na watu wasio julikana?

Anayefahamu atujulishe tumfate tukamilishe lengo letu
Kwakimombo wanasema ' He is at large'
 
Atakuwa kajificha na lile kundi lake litaibuka kudai chao najua watageukana soon wale nao wana kesi ya kujibu
 
Kajaribu kupatia kiberiti uone kama naongopa. Any way nipo nakunywa mabeir na mambuzi kusherehekea siku 60 aa kuondokana na mateso. Karibu tusherehekee mkuu! Sisi ni sherehe tu maana hakuna namna sasa.
Mkuu naona unapiga za uso, jamaa hana hamu na wewe Idugunde
 
Toka atenguliwe na itangazwe anachunguzwa DC mwenye tuhuma Ole Sabaya haonekani popote sio nyumbani sio vituo vya polisi.

Sisi watu wa habari tulitaka kufanya naye mahojiano naye kupata habari zake za ukweli tofauti na mahojiano aina ya Clouds media.

Sasa hivi Sabaya ni mtu maarufu sana hasa katika nyanja ya kuwa Mwanasiasa Jambazi hivyo kupata mahojiano naye atashare na wengine uzoefu wake kwenye nyanja hiyo.

Au naye kesha chukuliwa na watu wasio julikana?

Anayefahamu atujulishe tumfate tukamilishe lengo letu
Yuko mahali salama kwa usalama wake
 
Toka atenguliwe na itangazwe anachunguzwa DC mwenye tuhuma Ole Sabaya haonekani popote sio nyumbani sio vituo vya polisi.

Sisi watu wa habari tulitaka kufanya naye mahojiano naye kupata habari zake za ukweli tofauti na mahojiano aina ya Clouds media.

Sasa hivi Sabaya ni mtu maarufu sana hasa katika nyanja ya kuwa Mwanasiasa Jambazi hivyo kupata mahojiano naye atashare na wengine uzoefu wake kwenye nyanja hiyo.

Au naye kesha chukuliwa na watu wasio julikana?

Anayefahamu atujulishe tumfate tukamilishe lengo letu
Halafu Mataga yanaaminishwa eti Mama anamuenzi jiwe
 
Moja ya mambo tulitaka kumhoji ni hili la ubilionea wake!
Kwamba iweje miaka 2 iliyopita alikuwa anaishi kwa kunywa bia na nyama za kukopa pale Arusha au kutumia kitambulisho bandia cha TISS na leo ni bilionea?
Alikuwa anafanya biashara gani Hai? Au mihandarati?
Abrahimovic wabongo huyu ,hatari kelele zote kumbe wizi anayemfanyia ubaya nyerere alitoa msaada anunue gari kipindi kigumu kabisa....viongozi nyie sometimes muwe mnajipa muda kujua historia zawatu

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Moja ya mambo tulitaka kumhoji ni hili la ubilionea wake!
Kwamba iweje miaka 2 iliyopita alikuwa anaishi kwa kunywa bia na nyama za kukopa pale Arusha au kutumia kitambulisho bandia cha TISS na leo ni bilionea?
Alikuwa anafanya biashara gani Hai? Au mihandarati?
Abrahimovic wabongo huyu ,hatari kelele zote kumbe wizi anayemfanyia ubaya nyerere alitoa msaada anunue gari kipindi kigumu kabisa....viongozi nyie sometimes muwe mnajipa muda kujua historia zawatu

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Ahaaa, huyu bwege ana nondo gani?
Nipo bia ya 18 nimetawanya mbavu za swala mezani sikuoni mkuu. Au huoni kuwa tumelitua zigo la misumari? Emb jongea tufunge siku 60 aisee. Nipo najikumbushia videos za UTUBE kuangalia namna sukuma gang walivyokuwa wanalialia siku ile! Agrrrrrrrrrrrr kula nyama kula bia......mishe Jiwe......mishe Jiwe......kipindi cha misoto niliungua na jua...wew ukanikazia.....
 
Toka atenguliwe na itangazwe anachunguzwa DC mwenye tuhuma Ole Sabaya haonekani popote sio nyumbani sio vituo vya polisi.

Sisi watu wa habari tulitaka kufanya naye mahojiano naye kupata habari zake za ukweli tofauti na mahojiano aina ya Clouds media.

Sasa hivi Sabaya ni mtu maarufu sana hasa katika nyanja ya kuwa Mwanasiasa Jambazi hivyo kupata mahojiano naye atashare na wengine uzoefu wake kwenye nyanja hiyo.

Au naye kesha chukuliwa na watu wasio julikana?

Anayefahamu atujulishe tumfate tukamilishe lengo letu
Mkuu nimeku-PM, ukipata taarifa za mahala alipo tushirikishane maana hata na sisi tunahitaji tufanye naye mahojiano mawili matatu
 
Huenda amevuka mpaka anakula bata Nairobi, akisikilizia mwenendo wa mama dhidi yake.
Akisikia habari za mtu aliyepewa mamlaka kuongoza TAKUKURU anaweza kujificha zaidi
Mkuu kwani Sabaya alikuwa na mkwaruzano na boss mpya wa takukuru ?
 
Kuna mahali walikuwa wamejifungia Jana kwa ajili ya kuanzisha topic za kujitetea as if wanaccm hawakupendezwa kwa kutumbuliwa kwake.
Ushauri wangu kama mwanaccm mwenzangu awaombe msamaha wote aliowakosea ili aweze kuwa huru ili mtaani aonekane la sivyo dhamira itamtesa sana na nwisho wake hautakuwa mzuri
Jana kweli walifungua nyuzi kibao za kuhoji mpaka kutishia mamlaka ya Mh Mama Rais.
Siajabu hata huu uzi, ni wa kwao katika kujikosha, maana watu waliwaparamia na kuwasema wanaharibu zaidi, busara ni kukaa kimya.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Nipo bia ya 18 nimetawanya mbavu za swala mezani sikuoni mkuu. Au huoni kuwa tumelitua zigo la misumari? Emb jongea tufunge siku 60 aisee. Nipo najikumbushia videos za UTUBE kuangalia namna sukuma gang walivyokuwa wanalialia siku ile! Agrrrrrrrrrrrr kula nyama kula bia......mishe Jiwe......mishe Jiwe......kipindi cha misoto niliungua na jua...wew ukanikazia.....
Sawa kamanda, subiri kusukumiwa pipe.
 
Back
Top Bottom