Ole Sabaya Yuko Wapi? Kila Mahali Haonekani!

Ole Sabaya Yuko Wapi? Kila Mahali Haonekani!

Toka atenguliwe na itangazwe anachunguzwa DC mwenye tuhuma Ole Sabaya haonekani popote sio nyumbani sio vituo vya polisi.

Sisi watu wa habari tulitaka kufanya naye mahojiano naye kupata habari zake za ukweli tofauti na mahojiano aina ya Clouds media.

Sasa hivi Sabaya ni mtu maarufu sana hasa katika nyanja ya kuwa Mwanasiasa Jambazi hivyo kupata mahojiano naye atashare na wengine uzoefu wake kwenye nyanja hiyo.

Au naye kesha chukuliwa na watu wasio julikana?

Anayefahamu atujulishe tumfate tukamilishe lengo letu
Weye mtafute, anakucheki tu😂😂
 

Attachments

  • VID-20210515-WA0005.mp4
    8.1 MB
Kamanda bia ya 18 imeisha? Andaa virainishi ili usukumiwe pipe na wanaume wenye akili.
Nyie mlikuwa mmejihakikishia kwenda na dikteta mpaka 2025 kisha muendeleze udikteta kwa njia mnazozijua tukawafyekelea mbali. Najua inawaumeni ila hakuna namna! Endeleeni kutoa mitusi ila sisi ni sherehe tuu. Ila aisee tuacheni utani. Hivi ni kweli kuwa Jiwe hayupo! Asije akazinduka ikala kwetu. Ila kwa ule mzigo wa zege thubutuuu!
 
Nyie mlikuwa mmejihakikishia kwenda na dikteta mpaka 2025 kisha muendeleze udikteta kwa njia mnazozijua tukawafyekelea mbali. Najua inawaumeni ila hakuna namna! Endeleeni kutoa mitusi ila sisi ni sherehe tuu. Ila aisee tuacheni utani. Hivi ni kweli kuwa Jiwe hayupo! Asije akazinduka ikala kwetu. Ila kwa ule mzigo wa zege thubutuuu!
Ukishamaliza paka virainishi ili usukumiwe pipe.
 
Ukishamaliza paka virainishi ili usukumiwe pipe.
Wewe endelea kutukana ila ukija kugutuka utaendelea kuwaza jinsi ya kuishi bila JIWE! Ukishindwa kupata suluhu basi ufe haraka sana ili angalau ukawe mpambe kwenye kampeni za kuwania ukuu wa malaika!
 
Wewe endelea kutukana ila ukija kugutuka utaendelea kuwaza jinsi ya kuishi bila JIWE! Ukishindwa kupata suluhu basi ufe haraka sana ili angalau ukawe mpambe kwenye kampeni za kuwania ukuu wa malaika!
Usipake virainishi vingi. Paka kidogo ili pipe izame vizuri.
 
Nataka nikamrithi mama yako maana kwa sasa ni mjane
Usipake virainishi vingi. Paka kidogo ili pipe izame vizuri.
Wewe endelea kutukana ila ukija kugutuka utaendelea kuwaza jinsi ya kuishi bila JIWE! Ukishindwa kupata suluhu basi ufe haraka sana ili angalau ukawe mpambe kwenye kampeni za kuwania ukuu wa malaika!
Haaaaa Haaaaa 😂 nyie mmetoka nje ya. Mada bana
 
Toka atenguliwe na itangazwe anachunguzwa DC mwenye tuhuma Ole Sabaya haonekani popote sio nyumbani sio vituo vya polisi.

Sisi watu wa habari tulitaka kufanya naye mahojiano naye kupata habari zake za ukweli tofauti na mahojiano aina ya Clouds media.

Sasa hivi Sabaya ni mtu maarufu sana hasa katika nyanja ya kuwa Mwanasiasa Jambazi hivyo kupata mahojiano naye atashare na wengine uzoefu wake kwenye nyanja hiyo.

Au naye kesha chukuliwa na watu wasio julikana?

Anayefahamu atujulishe tumfate tukamilishe lengo letu
Hamduni atamla mzuti bila kilainishi
 
Back
Top Bottom