Ole Sabaya Yuko Wapi? Kila Mahali Haonekani!

Ole Sabaya Yuko Wapi? Kila Mahali Haonekani!

Toka atenguliwe na itangazwe anachunguzwa DC mwenye tuhuma Ole Sabaya haonekani popote sio nyumbani sio vituo vya polisi.

Sisi watu wa habari tulitaka kufanya naye mahojiano naye kupata habari zake za ukweli tofauti na mahojiano aina ya Clouds media.

Sasa hivi Sabaya ni mtu maarufu sana hasa katika nyanja ya kuwa Mwanasiasa Jambazi hivyo kupata mahojiano naye atashare na wengine uzoefu wake kwenye nyanja hiyo.

Au naye kesha chukuliwa na watu wasio julikana?

Anayefahamu atujulishe tumfate tukamilishe lengo letu
Kaulize police au takukuru.
Kwani familia yake wanasemaje?
 
We ni msukule wa dikteta aliepaazwa na Covid19,
Kashapotea mavumbini,
Sabaya lazima aende jela, Tena sasaivi anawalipa nyinyi kina Aunt idugunde mumtukane Rais mitandaoni,
Aisee ndio mnamchongea kabisa uyo bwabwa mwenzenu
Makalio yako yanakuwasha
 
Toka atenguliwe na itangazwe anachunguzwa DC mwenye tuhuma Ole Sabaya haonekani popote sio nyumbani sio vituo vya polisi.

Sisi watu wa habari tulitaka kufanya naye mahojiano naye kupata habari zake za ukweli tofauti na mahojiano aina ya Clouds media.

Sasa hivi Sabaya ni mtu maarufu sana hasa katika nyanja ya kuwa Mwanasiasa Jambazi hivyo kupata mahojiano naye atashare na wengine uzoefu wake kwenye nyanja hiyo.

Au naye kesha chukuliwa na watu wasio julikana?

Anayefahamu atujulishe tumfate tukamilishe lengo letu
Yupo Pestana pub
 
Mungu ana makusudi mema na nchi hii. Baada ya kuona tumeteseka vya kutosha akatuondolea mwendazake.

Kisha Mungu akapandikiza roho mtakatifu kwa mama SSH, naye anaendeleza kazi nzuri ya kuondoa uozo

Mama alianza na Dr. Bashiru......out
Kakoko mbeba hela za bandari kupeleka kwa mwendazake. ...out
Dotto James aliyekuwa anachota tu mihela na kuipeleka CHATO ....out.
Biswalo aliyekuwa anawasukia watu mashitaka fake ...out
Gen. Mbung'o aliyekuwa anabambikia watu watu tuhuma za rushwa ..out
Sabaya mpenda ubabe na ujambazi...out

Kazi iendelee.!
MUNGU wetu atusaidie kutuondolea na Ndugai
 
Mungu ana makusudi mema na nchi hii. Baada ya kuona tumeteseka vya kutosha akatuondolea mwendazake.

Kisha Mungu akapandikiza roho mtakatifu kwa mama SSH, naye anaendeleza kazi nzuri ya kuondoa uozo

Mama alianza na Dr. Bashiru......out
Kakoko mbeba hela za bandari kupeleka kwa mwendazake. ...out
Dotto James aliyekuwa anachota tu mihela na kuipeleka CHATO ....out.
Biswalo aliyekuwa anawasukia watu mashitaka fake ...out
Gen. Mbung'o aliyekuwa anabambikia watu watu tuhuma za rushwa ..out
Sabaya mpenda ubabe na ujambazi...out

Kazi iendelee.!
Bado spika ya radio ndugu gay
 
Toka atenguliwe na itangazwe anachunguzwa DC mwenye tuhuma Ole Sabaya haonekani popote sio nyumbani sio vituo vya polisi.

Sisi watu wa habari tulitaka kufanya naye mahojiano naye kupata habari zake za ukweli tofauti na mahojiano aina ya Clouds media.

Sasa hivi Sabaya ni mtu maarufu sana hasa katika nyanja ya kuwa Mwanasiasa Jambazi hivyo kupata mahojiano naye atashare na wengine uzoefu wake kwenye nyanja hiyo.

Au naye kesha chukuliwa na watu wasio julikana?

Anayefahamu atujulishe tumfate tukamilishe lengo letu
Wasipomchunga vizuri atajinyonga yule dubwana.
 
Toka atenguliwe na itangazwe anachunguzwa DC mwenye tuhuma Ole Sabaya haonekani popote sio nyumbani sio vituo vya polisi.

Sisi watu wa habari tulitaka kufanya naye mahojiano naye kupata habari zake za ukweli tofauti na mahojiano aina ya Clouds media.

Sasa hivi Sabaya ni mtu maarufu sana hasa katika nyanja ya kuwa Mwanasiasa Jambazi hivyo kupata mahojiano naye atashare na wengine uzoefu wake kwenye nyanja hiyo.

Au naye kesha chukuliwa na watu wasio julikana?

Anayefahamu atujulishe tumfate tukamilishe lengo letu
Ukimtafuta saa nane na nusu usiku, muda ule alikuwa anawatembelea watu, utampata tu.
 
Hii ni akili sasa we mburula?
Kajaribu kupatia kiberiti uone kama naongopa. Any way nipo nakunywa mabeir na mambuzi kusherehekea siku 60 aa kuondokana na mateso. Karibu tusherehekee mkuu! Sisi ni sherehe tu maana hakuna namna sasa.
 
Back
Top Bottom