King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 62,920
- 95,280
Toka atenguliwe na itangazwe anachunguzwa DC mwenye tuhuma Ole Sabaya haonekani popote sio nyumbani sio vituo vya polisi.
Sisi watu wa habari tulitaka kufanya naye mahojiano naye kupata habari zake za ukweli tofauti na mahojiano aina ya Clouds media.
Sasa hivi Sabaya ni mtu maarufu sana hasa katika nyanja ya kuwa Mwanasiasa Jambazi hivyo kupata mahojiano naye atashare na wengine uzoefu wake kwenye nyanja hiyo.
Au naye kesha chukuliwa na watu wasio julikana?
Anayefahamu atujulishe tumfate tukamilishe lengo letu
Yupo mabatiniToka atenguliwe na itangazwe anachunguzwa DC mwenye tuhuma Ole Sabaya haonekani popote sio nyumbani sio vituo vya polisi.
Sisi watu wa habari tulitaka kufanya naye mahojiano naye kupata habari zake za ukweli tofauti na mahojiano aina ya Clouds media.
Sasa hivi Sabaya ni mtu maarufu sana hasa katika nyanja ya kuwa Mwanasiasa Jambazi hivyo kupata mahojiano naye atashare na wengine uzoefu wake kwenye nyanja hiyo.
Au naye kesha chukuliwa na watu wasio julikana?
Anayefahamu atujulishe tumfate tukamilishe lengo letu
Punguani wewe huna akili mla panyaSabaya kaenda chato kugalagala kwenye kaburi la dikteta
[emoji23][emoji23]Sabaya kaenda chato kugalagala kwenye kaburi la dikteta
Na pesa Ali hifadhi katika US$ Kenya anabadilisha tu kwa KSh maisha yanaendelea.Huenda amevuka mpaka anakula bata Nairobi, akisikilizia mwenendo wa mama dhidi yake.
Akisikia habari za mtu aliyepewa mamlaka kuongoza TAKUKURU anaweza kujificha zaidi
Vijana wa Hai wameapa watamtumia.Kwa Usalama wake inabidi ajifiche maana wana HAI wanaweza kumpasua.
Kwahiyo yuko KenyaNa pesa Ali hifadhi katika US$ Kenya anabadilisha tu kwa KSh maisha yanaendelea.
Sijasema hivyo
We ni msukule wa dikteta aliepaazwa na Covid19,Punguani wewe huna akili mla panya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda hajamaliza kuogaView attachment 1786711
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa watu wana muwinda saiv..kajificha kuokoa maisha yake kumbe nao ni waoga eeh[emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hee, unawajua wala panya wewe?
Ongea maneno yako hayo mbele ya PM, Nape na Mkuchika kama hawaja kugawana
Bilionea anayedaiwa na hotel zote kubwa zilizopo Arusha na Moshi. Si chini ya milioni 10 eachMoja ya mambo tulitaka kumhoji ni hili la ubilionea wake!
Kwamba iweje miaka 2 iliyopita alikuwa anaishi kwa kunywa bia na nyama za kukopa pale Arusha au kutumia kitambulisho bandia cha TISS na leo ni bilionea?
Alikuwa anafanya biashara gani Hai? Au mihandarati?
Vijana wa Hai wameapa watamtumia.
amini amini amini nakwambia.Mungu ana makusudi mema na nchi hii. Baada ya kuona tumeteseka vya kutosha akatuondolea mwendazake.
Kisha Mungu akapandikiza roho mtakatifu kwa mama SSH, naye anaendeleza kazi nzuri ya kuondoa uozo
Mama alianza na Dr. Bashiru......out
Kakoko mbeba hela za bandari kupeleka kwa mwendazake. ...out
Dotto James aliyekuwa anachota tu mihela na kuipeleka CHATO ....out.
Biswalo aliyekuwa anawasukia watu mashitaka fake ...out
Gen. Mbung'o aliyekuwa anabambikia watu watu tuhuma za rushwa ..out
Sabaya mpenda ubabe na ujambazi...out
Kazi iendelee.!
Unajua mengi ebu tupe utam kwa kirefu kidogoMungu ana makusudi mema na nchi hii. Baada ya kuona tumeteseka vya kutosha akatuondolea mwendazake.
Kisha Mungu akapandikiza roho mtakatifu kwa mama SSH, naye anaendeleza kazi nzuri ya kuondoa uozo
Mama alianza na Dr. Bashiru......out
Kakoko mbeba hela za bandari kupeleka kwa mwendazake. ...out
Dotto James aliyekuwa anachota tu mihela na kuipeleka CHATO ....out.
Biswalo aliyekuwa anawasukia watu mashitaka fake ...out
Gen. Mbung'o aliyekuwa anabambikia watu watu tuhuma za rushwa ..out
Sabaya mpenda ubabe na ujambazi...out
Kazi iendelee.!