Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,693
- 36,082
Yule DC ni mshenzi sana. Ni muuni na mleviEti wewe tuliza matter core wewe
Yule DC ni mshenzi sana. Ni muuni na mleviEti wewe tuliza matter core wewe
Waliokuwa wakimhoji hapo kwenye kituo cha redio, hata hili swali rahisi walisahau kumuuliza?Mbowe alikuwa anakusanya kodi Hai?
Amandla...
Humfahamu Mbowe wewe mbuzi poriNgoja aendelee kutunyoshea mbowe
Alikuwa amelewa jameniKila nikikukumbuka alipovamia Weruweru river lodge ili alazimishe penzi kwa Nandy nacheka sana
Wataulizaje wakati lengo lao wote lilikuwa moja?Waliokuwa wakimhoji hapo kwenye kituo cha redio, hata hili swali rahisi walisahau kumuuliza?
Yes ni kweli na hii imo kwenye ilani ya chama chetu tuliyowaahidi watanzaniaNgoja aendelee kutunyoshea mbowe
Machame gani wewe upo, au Machame ya Jamhuri ya JF?Mkuu, nikija kugundua Wewe ndo Ole Saa-Mbovu, nahama Machame!
Nkwarungu!Machame gani wewe upo, au Machame ya Jamhuri ya JF?
Babako wa kufikia.Amemuonea nani
Kubwa la ma jambazi ya ccm.Mkuu wa wilaya ya Hai Ole Lengai Sabaya wakati akihojiwa kwenye kipindi cha 360 cha Clouds Fm amewajibu wanaosema kuwa enzi zake zimekwisha baada ya kifo cha hayati rais Magufuli.
Sabaya amesema wanaosema zama zake zimekwisha wanapoteza muda kwa sababu wakati wa utawala wa rais Magufuli alikuwa anaripoti kwa rais, makamu wa rais (Samia) waziri mkuu, na wakuu wa mikoa, anasema hao ndiyo waliomtuma kuitoa wilaya ya hai kutoka ya 192 kwenye ulipaji kodi hadi sasa hivi iko nafasi ya 4. Sabaya amesema wilaya ya Hai ikiongozwa na Mbowe ilikuwa hub ya wakwepa kodi, wezi ,wazurumaji ,na wasaliti nchini.
Ole Sabaya amesema kitendo cha Mama Samia kusifiwa na hayati Magufuli kwenye mkutano CCM Dodoma mwaka 2020 kinaonyesha alikuwa anamwamini sana na alitaka kama yeye hayupo basi sisi watanzania tumwamini rais Samia kwani atatuvusha.
Pia amesema uzuri ni kwamba hata rais Samia ameanza vizuri baada ya kukataa hadharani kumsaliti Magufuli pale alipowajibu wahuni Lisu, Heche, Msigwa ,Mbowe, Nape, Makamba na bavichaa kwa ujumla kuwa yeye na Magufuli ni kitu kimoja.
Hawana akili kabisa,kuna lile lizee lifupi ni empty kabisaWaliokuwa wakimhoji hapo kwenye kituo cha redio, hata hili swali rahisi walisahau kumuuliza?
Naunga mkono na mkazi wa Machame analijua hiyo, Kijana wetu piga kazi. Turekebishie Wilaya yetu.Machame imetulia sasa
Haahaa Jpm kajigalagaza mwenyeweMalori kukwama bandarini ni furaha kubwa sana kwa Lema, Msigwa, Lisu na chadema kwa ujumla kwa sababu hiyo ndiyo njia pekee ya kuuwa legacy ya Magufuli.
Huwezi kuchafua oil chafu itakuchafua, tayari chadema maji ya shingo .
Magufuli aliwagaragaza akiwa hai atawagaragaza akiwa mauti.