Ole Sabaya: Rais Samia atatuvusha

Huyu mtu anawalipa kiasi gani? Halafu heri angetulia tu, kwa akili ya kawaida kabisa hakuna RC au DC anayedemka kama yeye, hii inadhihirisha kabisa anatumia nguvu kujisafisha.

Akipona achinje nanihii zake.
 
Ameenda kujisafisha na kujipendekeza
Mama ameshasema kama huna maadili hakutaki

U DC Sabaya,Kasesela na Muro andikeni BIG NO
 
Mkuu wa wilaya ya Hai Ole Lengai Sabaya wakati akihojiwa kwenye kipindi cha 360 cha Clouds Fm amewajibu wanaosema kuwa enzi zake zimekwisha baada ya kifo cha hayati rais Magufuli.

Sabaya amesema wanaosema zama zake zimekwisha wanapoteza muda kwa sababu wakati wa utawala wa rais Magufuli alikuwa anaripoti kwa rais, makamu wa rais (Samia) waziri mkuu, na wakuu wa mikoa, anasema hao ndiyo waliomtuma kuitoa wilaya ya hai kutoka ya 192 kwenye ulipaji kodi hadi sasa hivi iko nafasi ya 4. Sabaya amesema wilaya ya Hai ikiongozwa na Mbowe ilikuwa hub ya wakwepa kodi, wezi ,wazurumaji ,na wasaliti nchini.

Ole Sabaya amesema kitendo cha Mama Samia kusifiwa na hayati Magufuli kwenye mkutano CCM Dodoma mwaka 2020 kinaonyesha alikuwa anamwamini sana na alitaka kama yeye hayupo basi sisi watanzania tumwamini rais Samia kwani atatuvusha.

Pia amesema uzuri ni kwamba hata rais Samia ameanza vizuri baada ya kukataa hadharani kumsaliti Magufuli pale alipowajibu wahuni Lisu, Heche, Msigwa ,Mbowe, Nape, Makamba na bavichaa kwa ujumla kuwa yeye na Magufuli ni kitu kimoja.
Kubwa la ma jambazi ya ccm.
 
Machame imetulia sasa
Naunga mkono na mkazi wa Machame analijua hiyo, Kijana wetu piga kazi. Turekebishie Wilaya yetu.

Kwa hili la Sabaya watu wa Machame na Kibosho tumeungana.Ujumbe wa wazee kutoka Barangata, Nkweseko,Kyeeri, Mamba, Uswaa,Narumu, Uroki, Lyamungo Sinde, Nshara na Jirani zetu kutoka Umbwe, tutamuona Mama kesho asubuhi kusalimiana nae na kumpa pole ya kufiwa na Mzee Magufuli, Hai imetulia kama maji ya kutoka Mlimani. Wakazi wa Machame wenye kutaka kusalimiana na wazee wao tuwasiliane kupitia inbox.
 
Kipindi kile, wananchi walipokuwa wakilalamika utendaji wa mabavu wa huyu bwana hakuona haja ya kutafuta media kujisafisha maana yupo aliyekuwa anamtegemea, aliyemuweka, ambae alimuamini hawezi mtoa hapo labda ampandishe ngazi na kumpa kitengo kingine. Sasa hivi hayupo, hana backup yeyote, amekalia kuti kavu anahaha kujisafisha ili aonekane mwema aoenewe huruma. Kibaya story haijawa balanced maana wananchi na wafanyabiashara wote walioumizwa na yeye hatujaona wakiitwa kufanyiwa mahojiano.
Mnakumbuka kauli za Kheri James naye aliitisha Press kuomba radhi.
Sasa why watoke toke kujisafisha sasa hivi, umuhimu wa kuita press au kusafiri kuja DAR Kuhojiwa unaonekana sasa hivi, kwa maslahi ya nani!? Nchi hii
 
Malori kukwama bandarini ni furaha kubwa sana kwa Lema, Msigwa, Lisu na chadema kwa ujumla kwa sababu hiyo ndiyo njia pekee ya kuuwa legacy ya Magufuli.

Huwezi kuchafua oil chafu itakuchafua, tayari chadema maji ya shingo .

Magufuli aliwagaragaza akiwa hai atawagaragaza akiwa mauti.
Haahaa Jpm kajigalagaza mwenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom