Habari za chini chini zinasema 7ya ameshakua mfungwa mzoefu na Mara kwa Mara anapangwa zamu ya jikoni. Wameongeza kuwa ugali anaopika Ni mzuri hata maafande wanakula huo huo.Ananyea debe huko kisongo saa hizi kudadadeq. Na machalii wanamsubiri wamfokoe