Hivi wafungwa wa namna hii huwa wana nafasi ya msamaha wa raisi huko mbele ya safari? Isije kuwa mtu anakula mvua 30 baada ya miaka 7 anarudi uraiani kupunga upepoHuyu anakula mvua ya 30 tena.
Peleka ushenzi wenu huko. Unaunga mkono uporaji, ubakaji, wizi wa kutumia sihala, utekaji, na uchafu aliofanya Ole Sabaya?Tumeshaelewa delilah ndio kitendo chake cha mwanzo kutuonyesha hakua kitu kimoja na jpm. Kwa sasa tunaelewa yuko upande gani nasi tuko upande upi. Rip jpm
Umesahau jamaa hata kabla hajala shavu si alikuwa na kimeo cha TISS?Sabaya alipewa madaraka yakamlevya. Sabaya alijiona yy ndio kila kitu, hakuna wa kuzungumza mahali alipo. Akatengeneza tengeneza figisu za kubambikiza watu kesi na kuwadhulumu.
Leo Sabaya hana wa kumtetea tena wala kumpa kichwa. Yupo yeye sabaya na nafsi yake. Kila anapoangalia kuna kiza kinenene. Sometimes anajutia kwa nn alikubali kuwa mkuu wa wilaya.
Ni matatizo aliyosababisha mwenyewe yanampata sasa. Hatuyafurahii lakini tunafurahi kwamba anaenda kujifunza na atafunza wengine.
Nenda sabaya, ukiwa huko tafakari uliyofanya na ikiwezekana kiri hadharani na kuwaomba msamaha uliowadhulumu na kuwatesa.
Atafia jela.Dogo atajuta babake aliyemtia ujinga huu kufa ghafla.
Yaani akitoka jela atakuta mchumba wake ana watoto 3, mlio karibu naye mpatieni ujumbe huu...kwamba maisha kila mtu huvuna alichopanda.
Huyu inabidi aende huko Kigoma akalime michikichi au maharageHivi wafungwa wa namna hii huwa wana nafasi ya msamaha wa raisi huko mbele ya safari? Isije kuwa mtu anakula mvua 30 baada ya miaka 7 anarudi uraiani kupunga upepo
AkaribieHuyu inabidi aende huko Kigoma akalime michikichi au maharage
Alijiona mtu kuliko wengine boss. Hii mindset ni hatari sanaUmesahau jamaa hata kabla hajala shavu si alikuwa na kimeo cha TISS?
Kwamba sabaya anaonewa au?Tumeshaelewa delilah ndio kitendo chake cha mwanzo kutuonyesha hakua kitu kimoja na jpm. Kwa sasa tunaelewa yuko upande gani nasi tuko upande upi. Rip jpm
Na nchi za kiafrica zitakuwa na maendeleo pindi watawala watakapoozea jela.Hizi nchi za kiafrika, ukiamua kufungua kesi juu ya watawala na idara zao, yumkini nusu ya watawala wanaweza wakaenda lupango...
Sabaya, bashite,gambo,muro, kihongosi, chalamila,mnyeti hawana sifa za kuwa viongozi,Kwamba sabaya anaonewa au?
Sabaya anastahili kukinywea kikombe hiki ,na nashukuru mungu kwa kumuongoza rais wetu ili kuruhusu uchunguzi wa sabaya,mungu amrehemu rais wetu SSH .
Utawala wa sheria ni muhimu Sana,na zaidi Kuna wengine twajifunza toka kwake.
Angepelekwa Iringa au njombe angeliwa kichwa saa mbili asubuhi.Ole sabaya ndie Dr Kleruu wa zama hizi
Kwani wanajifunza basi??Hahaha, Sabaya atakuwa 'Reference' ya viongozi wengi wa sasa na wa baadaye! Chungeni sana, nyakati hubadilika! Bado yule nyamitako
How? By the way una umri gani?Ole sabaya ndie Dr Kleruu wa zama hizi