Ole Sabaya na wenzake wakutwa na kesi ya kujibu kwenye mashtaka ya Uhujumu Uchumi

Eti Kesi za kipuuzi,kumpora mtu wa watu ml.90 ni Kesi ya kipuuzi!!!hiyo ni akili au matope!!!hii Kesi atagongwa tena miaka kadhaa Jela,na wakati HuoHuo bado ana Kesi nyingine zinamsubiri,Always What Goes Around Comes Around
 
Enzi za biashara ya utumwa, hizi mbwa kama sabaya, wazazi walikuwa wanauza, kuondoa aibu kwenye familia.
 
Kashahukumiwa miaka 30,kesi gani tena za kipuuzi km hizo zinaendelea?si atumikie kifungo tu.
Huu ni upumbavu kukaa tunajadili upuuzi wa mtu aliyefungwa.
Kashafungwa otherwise mumuachie mumuhukumu tena.
Huu ni uonevu.
Nchi ni yetu sote,
Hamna binadamu yuko sawa mnamtesa mtu kijingajinga tu.
Kama Sabaya alikosea si anaonywa na adhabu aliyopata inatosha.
Nyie watu mnaishi kama wanyama aisee.
Mkuu unajitambua kweli mpaka unaandika hivi
 
Kashahukumiwa miaka 30,kesi gani tena za kipuuzi km hizo zinaendelea?si atumikie kifungo tu.
Huu ni upumbavu kukaa tunajadili upuuzi wa mtu aliyefungwa.
Kashafungwa otherwise mumuachie mumuhukumu tena.
Huu ni uonevu.
Nchi ni yetu sote,
Hamna binadamu yuko sawa mnamtesa mtu kijingajinga tu.
Kama Sabaya alikosea si anaonywa na adhabu aliyopata inatosha.
Nyie watu mnaishi kama wanyama aisee.
Kwa maandishi yako wewe ndo mnyama na usiye na ufahamu hata kidogo. Nchi inaendeshwa kwa mujibu wa sheria na si huruma, kama ana haki ataipata huko mahakamani.
 
Kashahukumiwa miaka 30,kesi gani tena za kipuuzi km hizo zinaendelea?si atumikie kifungo tu.
Huu ni upumbavu kukaa tunajadili upuuzi wa mtu aliyefungwa.
Kashafungwa otherwise mumuachie mumuhukumu tena.
Huu ni uonevu.
Nchi ni yetu sote,
Hamna binadamu yuko sawa mnamtesa mtu kijingajinga tu.
Kama Sabaya alikosea si anaonywa na adhabu aliyopata inatosha.
Nyie watu mnaishi kama wanyama aisee.
Mahakama sio kanisa. Kila kesi ina hukumu yake hakuna hukumu inayo futa makosa yote hata ambayo hayajatajwa kimahakama
 
Una upeo mdogo sana, natamani kukuelewesha lakini kwa uandishi huu itakuwa kazi bure. Kifupi kila shauri husikilizwa kwa wakati wake, huwezi kuendesha mashauri mawili kwa pamoja so relax kama kaka yako ana haki ataipata maana hiyo ndo kazi ya mahakama.
We kama.una chuki nae kivyako,upeo mi nakuajiri wewe nikitaka.
Nimesema kifungo alichopo atumikie sio kuendekeza safari za mahakamami kila siku.
 
Kesi juu ya kesi, iwe fundisho kwa chawa wote wanaoujua kujikombabkwa wakuu wao na kuvuka mipaka yao ya kazi!!
Kuna tetesi kwamba hii kesi ni kanya boya. Wana fumba watu macho. Ata tokea mbele kwa mbele. Tusubiri kesi aliyo kata rufaa.
 
Back
Top Bottom