interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,396
Hongereni sana mlioleta uzi huu, bila shaka sasa nitakuwa naburudika sana maana hizi ndizo akili zilizotumika ipasavyo kutunga na kuimba miziki.
ndugu dondosheni za Kibla, kuna ile moja anasema Konzi konkoli, umeme naoutimia kibatali... dah NatureeeHongereni sana mlioleta uzi huu, bila shaka sasa nitakuwa naburudika sana maana hizi ndizo akili zilizotumika ipasavyo kutunga na kuimba miziki.
Fanya kuziandika na majina ya wasanii pia.Mkuu
Ntazipandisha...
vuta pumzi kidogo niwajibike.
Fanya kuziandika na majina ya wasanii pia.
Nimeona ngoma kibao hazina majina ya wasanii
Majina muhimu mkuu.kuna wengine hizi ngoma pia tunazo,tunaweza kujikuta tunazipakua mara mbili mbili bila mpango.Mkuu jamaa anajitolea kupandisha ngoma hatumlipi chochote, hayo majina ya wasanii unaweza ongezea mwenyewe. Tusimchoshe mchizi