Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 16,410
- 25,350
“Wakati Zoran akiwa Simba ilikuwa unacheza kulingana na ulivyoperfom kwenye mazoezi, lakini baada ya kuondoka ikawa kama Kuna watu wanaleta list ya wachezaji wanaotakiwa kucheza na hawa wasicheze bila kujali ni nini wamekifanya kwenye uwanja wa mazoezi,” Aliyekuwa mchezaji wa Simba Sc, Nelson Okwa.
NB: Kwa hali hii tutaishia tu Robo fainali
Source: Wasafi FM
NB: Kwa hali hii tutaishia tu Robo fainali
Source: Wasafi FM