Hahahaaaaa
Jitapishe babu
anza wewe kutapika ndofu
Nyie tena mna yenu.
Hivi kula maharagwe kwa siku moja haiwezekani?
mmhh unaweza kupumua kwenye ibada ukaharibu hali ya hewa si unajua hii misa ya ijumaa kuu inavyochukua mda mrefu na watu wengi
pasaka nakuja kula pilau na noah kwako
Karibu sana tena kuna mbuzi na kitimoto mzima.