Mim siwaongelei nyiny wakimya kawaida..wanajijua watu naongelea hapaPunguza jaziba na ututoe sisi watu wapole kwenye hilo kundi mkuu! Na utambue samaki mmoja hutolewa huyohuyo tu. Sasa sisi wakinywa tumefikaje kwenye hizi jaziba zako nimemind siyo poa. Ila naomba niajiri mkuu
Asante. Ila mtoe mwenzio mahabusu mmalizane vzr mkuu nae asherehekee 2022 akiwa na familia yake boss. Unajua huenda umemweka huko ili ajifunze ila umeathiri watu wengi sana walio nyuma yake yani mama yake, mke wake watoto wake na wengine wanaomtegemea yeye! I hope hajakufanyia powa ndiyo maana umemuadhibu. But upokee mwaka 2022 na uunze poa bila quarrel na watu japo ni ngumu kuishi ulimwengu huu bila kuingia kwenye sintofahamu na kiumbe binadamu🌞Mim siwaongelei nyiny wakimya kawaida..wanajijua watu naongelea hapa
Ndiyo umeshtuka leo??Na sikuzote wanakua na roho ya kwann kwa mtu wanaemwona anafanikiwa na anathubutu...kwakua wao hawathubutu wanataka wote muwe hivyo...wtu wabaya sana
UMEPIGWA TUKIO LA KITU KIZITO NINI MKUU?1. Ambaye mara nyingi anazima simu
2. Ambaye mara nyingi hapokei simu
3. Ambaye simu yake siku zote ina matatizo
4. Ambaye anabadili sana line za simu
5. Humpati mpaka akutafte yeye kwenye simu
6. Akiwa na wenzie ni mcheshi ila akiwa na wewe ni mkimya sana
7. Ana upole wa kinafki
Well, kwa sisi ambao tumeajiri watu na pia tunaji-engage kwenye biashara ukiona mtu ana tabia hizo au kuna mazingira hayo katika mtu unayetaka kufanya nae biashara au kumwajiri kimbia haraka ikiwezekana mtukane kabla hata hamjafika kokote.
Yaani hata kama hajakufanya chochote mporomoshee matusi hadi aseme nimefanyaje? Akikushitaki poa tu maana utakuwa umejiepusha na hasara.
Mimi siku hizi sicheki na nyani, nikiona dalili hizi aisee kaa mbali nami.
Nawaelewa sasa wahindi kwanini wanachukiwa sana na waswahili. Mswahili ni mtu mshenzi sana. Na nitaendelea kuwakaanga vilivyo
Sasa naelewa why utasikia “boss yule ana roho mbaya”.
Nimetoka mfanya mtu kitu mbaya muda si mrefu na hatoki mpaka wiki ijayo!
Upo sahihi kabisa 100%.1. Ambaye mara nyingi anazima simu
2. Ambaye mara nyingi hapokei simu
3. Ambaye simu yake siku zote ina matatizo
4. Ambaye anabadili sana line za simu
5. Humpati mpaka akutafte yeye kwenye simu
6. Akiwa na wenzie ni mcheshi ila akiwa na wewe ni mkimya sana
7. Ana upole wa kinafki
Well, kwa sisi ambao tumeajiri watu na pia tunaji-engage kwenye biashara ukiona mtu ana tabia hizo au kuna mazingira hayo katika mtu unayetaka kufanya nae biashara au kumwajiri kimbia haraka ikiwezekana mtukane kabla hata hamjafika kokote.
Yaani hata kama hajakufanya chochote mporomoshee matusi hadi aseme nimefanyaje? Akikushitaki poa tu maana utakuwa umejiepusha na hasara.
Mimi siku hizi sicheki na nyani, nikiona dalili hizi aisee kaa mbali nami.
Nawaelewa sasa wahindi kwanini wanachukiwa sana na waswahili. Mswahili ni mtu mshenzi sana. Na nitaendelea kuwakaanga vilivyo
Sasa naelewa why utasikia “boss yule ana roho mbaya”.
Nimetoka mfanya mtu kitu mbaya muda si mrefu na hatoki mpaka wiki ijayo!