Enyi Vijana, chezeni kwenye ajira za serikali lakini ajira za makampuni / biashara binafsi muwe serious sana na kazi, kufukuzwa ni instantly

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,034
Nayaongea haya mchana huu ikiwa nimepigiwa simu na kijana graduate niliemtaftia kazi mwezi wa 11 mwaka jana kuniambia kafukuzwa kazini, ishu yake ni kwamba alikuwa mtu wa kutoka toka muda wa kazi.

Ajira za serikalini mambo ya kutoka wakati wa kazi yamezoeleka, waweza fanya masihara utavumiliwa, ukifanya msala unaweza kubadilishwa kituo ama kusimamishwa kwa muda, ni mpaka a ufanye makosa mazito sana ndio utatimuliwa.

Tukija kwenye biashara zetu hizi watu binafsi ama wenye makampuni yao kuweni makini sana, makampuni haya yanaendeshwa kwa faida na unapoonekana unatia dosari kwenye faida aidha kulipwa mshahara wakati hufanyi kazi, udokozi, kupumzika sana, n.k. basi wala hucheleweshwi
 
Nayaongea haya mchana huu ikiwa nimepigiwa simu na kijana graduate niliemtaftia kazi mwezi wa 11 mwaka jana kuniambia kafukuzwa kazini, ishu yake ni kwamba alikuwa mtu wa kutoka toka muda wa kazi.

Ajira za serikalini waweza fanya masihara utavumiliwa, ukifanya msala unaweza kubadilishwa kituo ama kusimamishwa kwa muda, ni mpaka a ufanye makosa mazito sana ndio utatimuliwa.

Tukija kwenye biashara zetu hizi watu binafsi ama wenye makampuni yao kuweni makini sana, makampuni haya yanaendeshwa kwa faida na unapoonekana unatia dosari kwenye faida aidha kulipwa mshahara wakati hufanyi kazi, udokozi, kupumzika sana, n.k. basi wala hucheleweshwi
Kweli mkuu usalama wa kazi kwenye makampuni ni ziro ila wanalipa vizuri bila kuchelewa!
 
Ni kweli mkuu ila kingine tu wasisahau kampuni binafsi zinazolipa vizuri ni chache. Kwa hiyo muhimu kukubali upunda kwa muda kabla ya kupigwa kiyoyozi

Kingine kazini waende na akili ila moyo na vihisia vya hapa na pale waviache nyumbani. Kazini ni kazi na ukipendwa na boss ujue anaipenda kazi unayoifanya na sio wewe. Kwa hiyo wapunguze attachment na kujipendekeza
 
Nayaongea haya mchana huu ikiwa nimepigiwa simu na kijana graduate niliemtaftia kazi mwezi wa 11 mwaka jana kuniambia kafukuzwa kazini, ishu yake ni kwamba alikuwa mtu wa kutoka toka muda wa kazi.

Ajira za serikalini waweza fanya masihara utavumiliwa, ukifanya msala unaweza kubadilishwa kituo ama kusimamishwa kwa muda, ni mpaka a ufanye makosa mazito sana ndio utatimuliwa.

Tukija kwenye biashara zetu hizi watu binafsi ama wenye makampuni yao kuweni makini sana, makampuni haya yanaendeshwa kwa faida na unapoonekana unatia dosari kwenye faida aidha kulipwa mshahara wakati hufanyi kazi, udokozi, kupumzika sana, n.k. basi wala hucheleweshwi
Kwa hiyo kama ni Novemba mwaka jana(2023) maana yake amefanya miezi miwili tu katimuliwa!!hatari sana
 
Nayaongea haya mchana huu ikiwa nimepigiwa simu na kijana graduate niliemtaftia kazi mwezi wa 11 mwaka jana kuniambia kafukuzwa kazini, ishu yake ni kwamba alikuwa mtu wa kutoka toka muda wa kazi.

Ajira za serikalini waweza fanya masihara utavumiliwa, ukifanya msala unaweza kubadilishwa kituo ama kusimamishwa kwa muda, ni mpaka a ufanye makosa mazito sana ndio utatimuliwa.

Tukija kwenye biashara zetu hizi watu binafsi ama wenye makampuni yao kuweni makini sana, makampuni haya yanaendeshwa kwa faida na unapoonekana unatia dosari kwenye faida aidha kulipwa mshahara wakati hufanyi kazi, udokozi, kupumzika sana, n.k. basi wala hucheleweshwi
makampuni mengi ya wazawa wa hapa bongo maboss wanastress na mikopo yaani ukizingua tu hasira zinamaliziwa kwako na kamuni za waasia wanachukulia wabongo kama watumwa yaani cheap labour !

unaweza kuta mshahara wenyewe ni laki 3 then mtu anataka ufanye kazi kama punda eti ufanye kazi kama wazungu hahahah ebu nendeni kwanza kaulizeni mishahara ya hao wazungu mnaowachukulia kama reference then ndio mtajua kampuni nyingi hapa bongo ni za kinyonyaji sana..!
 
Ni kweli mkuu ila kingine tu wasisahau kampuni binafsi zinazolipa vizuri ni chache. Kwa hiyo muhimu kukubali upunda kwa muda kabla ya kupigwa kiyoyozi

Kingine kazini waende na akili ila moyo na vihisia vya hapa na pale waviache nyumbani. Kazini ni kasi na ukipendwa na boss ujue anaipenda kazi unayoifanya na sio wewe. Kwa hiyo wapunguze attachment na kujipendekeza
Makampuni ni noma,ukiwa mvivu utajulikana tuu!
 
makampuni mengi ya wazawa wa hapa bongo maboss wanastress na mikopo yaani ukizingua tu hasira zinamaliziwa kwako na kamuni za waasia wanachukulia wabongo kama watumwa yaani cheap labour !

unaweza kuta mshahara wenyewe ni laki 3 then mtu anataka ufanye kazi kama punda eti ufanye kazi kama wazungu hahahah ebu nendeni kwanza kaulizeni mishahara ya hao wazungu mnaowachukulia kama reference then ndio mtajua kampuni nyingi hapa bongo ni za kinyonyaji sana..!
Inategemea na kampuni mkuu!
 
Makampuni ni noma,ukiwa mvivu utajulikana tuu!

Kwanza utume reports kila siku na bado kuna tathmini ya KPI's za wiki na Mwezi, kama hufikishi targets, kila siku ni visingizio ndio maana kuna watu wana fitna kwa wenzao sio kama wanapenda, ila uwezo hafifu kazini hivyo, ukupe kwa boss ndio njia ya kubaki kazini na kufika mbali 😁😁
 
Kwanza utume reports kila siku na bado kuna tathmini ya KPI's za wiki na Mwezi, kama hufikishi targets, kila siku ni visingizio ndio maana kuna watu wana fitna kwa wenzao sio kama wanapenda, ila uwezo hafifu kazini hivyo, ukupe kwa boss ndio njia ya kubaki kazini na kufika mbali
Kama ukiwa unafanya kazi zako inavyotakiwa hizo report hazina ugumu wala shida tatizo ukianza kuleta ujanja ujanja kazin utataka kuandika report ya uongo mwisho wa siku report na uhalisia havioani.
 
Nayaongea haya mchana huu ikiwa nimepigiwa simu na kijana graduate niliemtaftia kazi mwezi wa 11 mwaka jana kuniambia kafukuzwa kazini, ishu yake ni kwamba alikuwa mtu wa kutoka toka muda wa kazi.

Ajira za serikalini waweza fanya masihara utavumiliwa, ukifanya msala unaweza kubadilishwa kituo ama kusimamishwa kwa muda, ni mpaka a ufanye makosa mazito sana ndio utatimuliwa.

Tukija kwenye biashara zetu hizi watu binafsi ama wenye makampuni yao kuweni makini sana, makampuni haya yanaendeshwa kwa faida na unapoonekana unatia dosari kwenye faida aidha kulipwa mshahara wakati hufanyi kazi, udokozi, kupumzika sana, n.k. basi wala hucheleweshwi
job secure ipo serikalini tu huko kwingine ni majanga tu
 
Ni kweli mkuu ila kingine tu wasisahau kampuni binafsi zinazolipa vizuri ni chache. Kwa hiyo muhimu kukubali upunda kwa muda kabla ya kupigwa kiyoyozi

Kingine kazini waende na akili ila moyo na vihisia vya hapa na pale waviache nyumbani. Kazini ni kazi na ukipendwa na boss ujue anaipenda kazi unayoifanya na sio wewe. Kwa hiyo wapunguze attachment na kujipendekeza
Ujue mdogo angu ukiwa una comment kwenye kama haya unatakiwa uwe unanifikiria na mimi kaka yako na naamini unaelewa nachomaanisha..😂😂
 
Back
Top Bottom