Ogopa Sana Mungu na technology

Ogopa Sana Mungu na technology

Manyumbu unafikiri Yana akili basi, yenyewe ni kukurupuka tu.
Haya nyiye ng'ombe wa mama leteni akili kulifungia Kanisa la Gwajima
FB_IMG_1750398104281.jpg
FB_IMG_1750101660740.jpg
 
Kuna shehe kaingia na majini kanisani huku..
Hilo sio kanisa kanisa halizinduliwi na Wanasiasa ni machinjio ya ng'ombe ndio maana Shekhe anawaambia waache mtu awakate vichwa vyao
 
Sawa nyumbu, Lete na ile ya kina lissu wakimsema lowassa kuwa ni fisadi kabla hawajamkaribisha chamani kugombea uraisi.
Sawa ng'ombe wa mama lete na ile Msukuma na Magufuli walimsema Lowassa amejinyea halafu wakamkaribisha kurudi tena chamani na kijana wake wakamzawadia ubunge.
 
Mpaka sasa ukimwambia mwenye kete ili awe raisi anatakiwa kuwa mkristo kwanza ..........si Dhani kama anaweza kubisha.........kweli YESU NI JIBU
 
Back
Top Bottom