Ogopa Sana Mungu na technology

Ogopa Sana Mungu na technology

Hapo ameuza utu wake Kwa bahasha ya 100,000 ndo posho za Viongozi wa dini wakiitwa na samia
 
Sawa nyumbu, Lete na ile ya kina lissu wakimsema lowassa kuwa ni fisadi kabla hawajamkaribisha chamani kugombea uraisi.
Nyumbu mamako Lissu alishasema aliyemleta Lowassa chadema ni Gwajima na slaa

Na alisema ulikuwa ni uamuzi wa kijinga Sana kuwai kufanywa!!
 
Masheikh kwenye ubwabwa hawana ujanja
20250507_221048.jpg
 
Dooh wanainajisi sana dini kwa njaa na kujipendekeza kwa Watawala. Hivi hawajui kuwa gwaride huwa linageuka?

Gwajima kuzungumza ukweli Kanisani akaonekana anachanganya dini na Siasa

Huyu naye anafanya nini hapo Kanisani?
Mwogopeni Mungu Watawala pamoja na Viongozi mnaotumika kwa maslahi ya Watawala.
Hapo sio tu dini imechanganywa na siasa bali dini moja imechanganywa na dini nyingine 😳
 
Kuikomboa hii nchi si kazi nyepesi hata kidogo kama tunavyodhani na si jambo la hivi karibu.
 
Manyumbu unafikiri Yana akili basi, yenyewe ni kukurupuka tu.
Sasa pale jana aliongea kama shekhe au kama mwana ccm?
Hata gwajima alipozungumza alisema hazungumzi kama askofu gwajima... wapuuzi wakaishia KULIFUNGA KANISA BAADA YA KUMSHINDWA
 
Sawa nyumbu, Lete na ile ya kina lissu wakimsema lowassa kuwa ni fisadi kabla hawajamkaribisha chamani kugombea uraisi.
Mbona ata CCM walimsema,na akarudi CCM akapokelewa kwa heshima na Magu akamsifia sana,kwamba mzee ni mzalendo
Siasa ni sayansi ndugu yangu si kila anayesema kwamba ni kweli mara nyingine ni proganda za washindani wake
 
Back
Top Bottom