Ogopa Sana Mungu na technology

Sawa nyumbu, Lete na ile ya kina lissu wakimsema lowassa kuwa ni fisadi kabla hawajamkaribisha chamani kugombea uraisi.
 
View attachment 3395249Huyu Shekh kumbe ni kada mtiifu wa kijani kinondoni
View attachment 3395248
Dooh wanainajisi sana dini kwa njaa na kujipendekeza kwa Watawala. Hivi hawajui kuwa gwaride huwa linageuka?

Gwajima kuzungumza ukweli Kanisani akaonekana anachanganya dini na Siasa

Huyu naye anafanya nini hapo Kanisani?
Mwogopeni Mungu Watawala pamoja na Viongozi mnaotumika kwa maslahi ya Watawala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…