technically JF-Expert Member Joined Jul 3, 2016 Posts 13,563 Reaction score 57,887 Jul 5, 2025 #1 Huyu Shekh kumbe ni kada mtiifu wa kijani kinondoni Your browser is not able to display this video.
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 104,319 Reaction score 183,528 Jul 5, 2025 #2 Kawaida sana π
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,448 Reaction score 176,426 Jul 5, 2025 #3 Shehe ubwabwa.
B Bush Dokta JF-Expert Member Joined Apr 11, 2023 Posts 36,589 Reaction score 61,258 Jul 5, 2025 #4 technically said: View attachment 3395249Huyu Shekh kumbe ni kada mtiifu wa kijani kinondoni View attachment 3395248 Click to expand... Hahahaha
technically said: View attachment 3395249Huyu Shekh kumbe ni kada mtiifu wa kijani kinondoni View attachment 3395248 Click to expand... Hahahaha
B Bush Dokta JF-Expert Member Joined Apr 11, 2023 Posts 36,589 Reaction score 61,258 Jul 5, 2025 #5 johnthebaptist said: Kawaida sana π Click to expand... Dini na siasa kwenye jukwaa la Mwamposa.
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 104,319 Reaction score 183,528 Jul 5, 2025 #6 Bush Dokta said: Dini na siasa kwenye jukwaa la Mwamposa. Click to expand... Mbowe na Lisu kusuluhishwa Kanisani π
Bush Dokta said: Dini na siasa kwenye jukwaa la Mwamposa. Click to expand... Mbowe na Lisu kusuluhishwa Kanisani π
Notorious_Marcc JF-Expert Member Joined Feb 16, 2024 Posts 2,599 Reaction score 6,128 Jul 5, 2025 #7 Anaongea kama amekatwa kichwa.
Nkuba25 JF-Expert Member Joined Nov 18, 2015 Posts 2,374 Reaction score 13,097 Jul 5, 2025 #8 Mambo ya kishenzi kabisa
B Bush Dokta JF-Expert Member Joined Apr 11, 2023 Posts 36,589 Reaction score 61,258 Jul 5, 2025 #9 johnthebaptist said: Mbowe na Lisu kusuluhishwa Kanisani π Click to expand... Mahakamani imeshindikana?
johnthebaptist said: Mbowe na Lisu kusuluhishwa Kanisani π Click to expand... Mahakamani imeshindikana?
The Worst JF-Expert Member Joined Sep 12, 2021 Posts 7,829 Reaction score 25,672 Jul 5, 2025 #10 Wakishakusanyika wendawazimu unadhani huwa kuna hata mmoja anajitambua basi!! Huyo ni mfano wao.
Gordian Anduru JF-Expert Member Joined Apr 16, 2021 Posts 400 Reaction score 811 Jul 5, 2025 #11 Kwani shehe haruhusiwi kuwa na chama mbona gwajiboi ana picha akiwa na gwanda za ccm na gwanda za chadema
Kwani shehe haruhusiwi kuwa na chama mbona gwajiboi ana picha akiwa na gwanda za ccm na gwanda za chadema
D Dr wa Manesi JF-Expert Member Joined Aug 19, 2024 Posts 4,466 Reaction score 3,383 Jul 5, 2025 #12 Sawa nyumbu, Lete na ile ya kina lissu wakimsema lowassa kuwa ni fisadi kabla hawajamkaribisha chamani kugombea uraisi.
Sawa nyumbu, Lete na ile ya kina lissu wakimsema lowassa kuwa ni fisadi kabla hawajamkaribisha chamani kugombea uraisi.
B Big Balls JF-Expert Member Joined Feb 26, 2025 Posts 922 Reaction score 1,757 Jul 5, 2025 #13 Apostle Kuna muujiza huku
D Dr wa Manesi JF-Expert Member Joined Aug 19, 2024 Posts 4,466 Reaction score 3,383 Jul 5, 2025 #14 Gordian Anduru said: Kwani shehe haruhusiwi kuwa na chama mbona gwajiboi ana picha akiwa na gwanda za ccm na gwanda za chadema Click to expand... Manyumbu unafikiri Yana akili basi, yenyewe ni kukurupuka tu.
Gordian Anduru said: Kwani shehe haruhusiwi kuwa na chama mbona gwajiboi ana picha akiwa na gwanda za ccm na gwanda za chadema Click to expand... Manyumbu unafikiri Yana akili basi, yenyewe ni kukurupuka tu.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 167,059 Reaction score 185,360 Jul 5, 2025 #15 Muda utaongea... Cc: Mahondaw
Fanfa JF-Expert Member Joined Sep 25, 2009 Posts 2,388 Reaction score 3,710 Jul 5, 2025 #16 technically said: View attachment 3395249Huyu Shekh kumbe ni kada mtiifu wa kijani kinondoni View attachment 3395248 Click to expand... Kumbe wanaua watu ili nchi iwe salama. Eti bora ukatwe kichwa. Anataka kutuletea uja hidina wake. Hawa ndo wanataka nchi itawaliwe kwa sharia. Kuchinja wenzao kwa mgongo wa amani ni sawa.
technically said: View attachment 3395249Huyu Shekh kumbe ni kada mtiifu wa kijani kinondoni View attachment 3395248 Click to expand... Kumbe wanaua watu ili nchi iwe salama. Eti bora ukatwe kichwa. Anataka kutuletea uja hidina wake. Hawa ndo wanataka nchi itawaliwe kwa sharia. Kuchinja wenzao kwa mgongo wa amani ni sawa.
Tindo Platinum Member Joined Sep 28, 2011 Posts 69,571 Reaction score 123,044 Jul 5, 2025 #17 technically said: View attachment 3395249Huyu Shekh kumbe ni kada mtiifu wa kijani kinondoni View attachment 3395248 Click to expand... ππ Yuko na ponjoro wa kinondoni.
technically said: View attachment 3395249Huyu Shekh kumbe ni kada mtiifu wa kijani kinondoni View attachment 3395248 Click to expand... ππ Yuko na ponjoro wa kinondoni.
Kennedy Platinum Member Joined Dec 28, 2011 Posts 59,168 Reaction score 69,674 Jul 5, 2025 #18 Sheikh Galagaja Tu Na Kijani Mbovu
Kennedy Platinum Member Joined Dec 28, 2011 Posts 59,168 Reaction score 69,674 Jul 5, 2025 #19 Tindo said: ππ Yuko na ponjoro wa kinondoni. Click to expand... Wauza Ngada
Manyanza JF-Expert Member Joined Nov 4, 2010 Posts 19,149 Reaction score 43,098 Jul 5, 2025 #20 technically said: View attachment 3395249Huyu Shekh kumbe ni kada mtiifu wa kijani kinondoni View attachment 3395248 Click to expand... Dooh wanainajisi sana dini kwa njaa na kujipendekeza kwa Watawala. Hivi hawajui kuwa gwaride huwa linageuka? Gwajima kuzungumza ukweli Kanisani akaonekana anachanganya dini na Siasa Huyu naye anafanya nini hapo Kanisani? Mwogopeni Mungu Watawala pamoja na Viongozi mnaotumika kwa maslahi ya Watawala.
technically said: View attachment 3395249Huyu Shekh kumbe ni kada mtiifu wa kijani kinondoni View attachment 3395248 Click to expand... Dooh wanainajisi sana dini kwa njaa na kujipendekeza kwa Watawala. Hivi hawajui kuwa gwaride huwa linageuka? Gwajima kuzungumza ukweli Kanisani akaonekana anachanganya dini na Siasa Huyu naye anafanya nini hapo Kanisani? Mwogopeni Mungu Watawala pamoja na Viongozi mnaotumika kwa maslahi ya Watawala.