Have said, and I keep on saying "Doctors are in the category of rare proffession, I can say". In view of this, much respect to them!!! Nyie mnapojilipa eti posho laki 200,000 bado sijui sitting allowance, halafu fuel over a million per month, na mambo kibao halafu eti Daktari alipwe 10,000 night call/shift sijui nesi 5,000 or so. Waliomba ongezeko la harship hasa ukizingatia hardship yenyewe inatokana na ukosefu wa vifaa. It is true Muhumbili hata na Hospital nyingine kama Temeke, Amana, Mwananyamala, etc wanafanya kuzuga tu na hakuna huduma nzuri kama humfahamu Daktari. Acheni kuwadanganya wananchi, mtalaanika. Nyie homa mnaenda India, Marekani, Europe and the like, sasa hawa wanaowapigia kura wataenda wapi? Ni mpaka wasubiri 5,000 ya kuuza kitambulisho cha mpiga kura na kanga, kofia na t-shirt only every five years!!! Do justice to your voters!!!