Mbaha
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 697
- 73
Ujinga wetu ndo umetufikisha hapa!
Exactly! Ujinga wetu ndo umetufikisha hapa!
Ujinga wetu ndo umetufikisha hapa!
Wapi tunakwenda?Jana nilipita hapo hospitali kumwona ndugu mmoja mgonjwa, inasikitisha kwa kweli...Kwanza hakuna madaktari wa kutosha. Kwa wiki moja mgonjwa aliyelazwa anaonana na Daktari mara moja ama mara mbili tu. Pili, mgonjwa akiandikiwa dawa...inakuja kutolewa baada ya siku tatu.
Inasikistisha....Kwa mara ya kwanza niliogopa kuumwa!!
2015 inakuja na tuatrudia tena.Exactly! Ujinga wetu ndo umetufikisha hapa!
Kidumu gerezani!Kidumu Chama Cha Mapinduzi
Ndugu Asa79 aliyesema maneno hayo hatibiwi hapa bongo na ye na mkewe yule wa netiboliLiwalo na liwe
Tuchukue hatua gani?huu ni ujinga wetu,kila kitu kipo wazi tunasubiri nn tena kuchukua hatua?
Yani unawatubia ili waende peponi?Eee mungu wa mbinguni uturehemu ......na ninaomba toba kwa ajili ya viongozi wa nchi hii......
sio mkuu ninaomba toba kwa ajili ya watu ambao wanakufa bila hatia kwa sababu ya hawa viongozi wazembeYani unawatubia ili waende peponi?
I would have gunned them down then go confess afterwards for my own skin.
Ahaa kumbe!sio mkuu ninaomba toba kwa ajili ya watu ambao wanakufa bila hatia kwa sababu ya hawa viongozi wazembe
Hiyo sio picha aliyo nayo kikwete.Nimeshawahi kwenda hospitali ya wazazi meta mbeya sikuamini wamama wajawazito wamelazwa kwenye magodoro sakafuni wanasubiri kujifungua.
Hali kama hii wodi kujaa serikali inaitafsiri kuwa huduma zimerejea.
Wao watu kummiminika kwa wingi hospitali na wodi kujaa ndo indicator ya huduma nzuri.
Serikali ya Kikwete na Pinda wanajua QUANTITY tu, QUALITY kwao msamiati.
Wapi tunakwenda?
Do you now believe mgomo umeisha?
YeahAm not sure kama ule ni mgomo ama upungufu usio mithilika wa madaktari...Unajua intern wote wamefukuzwa...na hapo ndipo kwenye tatizo mkuu