Ogopa hizi shuhuda

Inatisha sana, jamaa yangu hivi karibuni alijaribu kunishawishi ili tutajirike wote. Kuwa ni mambo ya kweli na anahudhuria semina na kiingilio ni 4million. Nilijaribu kudauti kuwa anapigwa akaruka futi 12, nimempotezea. Ila nadhani kisha tapeliwa pakubwa sana. So sad!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka Mshana sema kweli toka nijiunge JF na kuanza kupitia nyuzi zako nimeanza kujifunza vitu tofauti. Ubarikiwe sana

Mi mnamo mwanzoni mwa mwaka huu nilotafuta site hapa Arusha ili kufungua kijiwe cha kuuza juice za matunda, ee bwana wee nikaulizia kwenye mgahawa fulani hivi! Hapo ndipo matatizo yalianzia akanifunga kamba oohh! Hapa upatapiga pesa sana utakuwa unauza litre 20 kwa siku nikaona maisha c ndo haya. Nikalipa kodi 60k kwa mwezi yani sema kweli mpaka mwezi kuja kuisha sikuwahi kuuza zaidi ya litre3.

Somo: hakuna mtu asiyependa hela ukiona mtu anakuhamasisha kufanya kitu fulani ili upate pesa jiulize sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utaskia mtu anakwambia "ukitaka kuwa mfanya biashara mkubwa lazima ujitoe mhanga"lakini kumbuka hata misingi ya idea ya biashara auna,apo mjomba ukijitoa mhanga na viela vyako vya ngama umepotea,na ukipoteza kulusisha ni ngumu,ukipambana sana na ku force utaludi na Covid 19🤣🤣🤣


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Umesahau wa "Nitumie nauli."
Hawa wanaliza watu kila siku.
 
Hahahaa dah nomaa sana
Jamaa yangu kilichomwokoa alikuwa na Elfu hamsini tu mfukoni. Alinusurika kupigwa na Madawa ya kilimo. Matapeli Ni hatari sana aisee, usiombe wakufikie ukipona shukuru. Wana strategy Kali sana. Some time wanaweza kukufanya ufanikishe round ya kwanza na unaona hii ni biashara ya kuwa bilionea, wakija kufunga kipindi ukipona wewe unakuwa maskini wa kutupwa yaani ombaomba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi tapeli hata awe mkali kiasi gani hanipati. Na nasema kwa uhakika kabisa. Tapeli akifanikiwa kunitapeli basi ujue mimi niliamua kutoa bila kujali kama nitapata hasara na kwenye situation kama hizi huwa sitoi fedha nyingi. Njia moja nzuri sana ya kujiepusha na matapeli ni kutokuwa na tamaa na kufuata sheria. Usikubali kufanya mishe zinazoitwa dili. Fuata sheria na taratibu.
 
Mkuu, usizungumze hivyo, hawa jamaa wanajua sana, kwenye hizi biashara au kazi halali. Watu huwa wanafungiwa kipindi. Na huamini Kama kipindi kimefungwa. wanaweza fanya biashara na wewe hata miaka mitatu, kiasi kwamba munakuwa mumedevelop business trust. Watakavyokufungia kipindi hutaamini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jamaa yangu hapa kazin watu wa QNet daily lazima waje kumuhamasisha achukue mkopo ajiunge na Qnet, akaja kuniomba ushauri nkamuuliza kama inalipa mbona asiende kuwaita mama take,Dada,kaka mjomba,na shangazi wajiunge ukoo mzima wawe matajiri? Anakufuata fuata ww tu?

If the deal is too easy think twice!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😁😁 Hvi bado tu hizi mamboo zipo ,, mi nakumbuka kipind cha nyuma mwak 2010 hv, home hapa jiran Kuna mganga na junk
kadhaa za mtaan hapa ,daily walkuw ni kushindiaa mliman ..wakishawishiana ..Kuna mali za wajerumani ara hzoo..ndan mliman .deep inside .na uwezo wa hata kufukua hawana ..walizingukaaa sana ..daily kukesha .kupigwa na baridi lakn..baad ya miez kadhaa sikuwah kuwaona ...



In short hizi ni akili za usingzin tu ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…