Kipenseli
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 800
- 1,050
Habari Zenu Wakuu? Natumai nyote mko poa humu. Naomba niende moja kwa moja kwenye lengo la chapisho hili.
Mimi ni Mwanafunzi wa Chuo cha Mipango, Level ya Shahada ya Mipango na Usimamizi Miradi (BDPPM) mwaka wa pili, Kimsingi tunatarajia kufanya field (Mwezi wa 6) ila kwasasa chuo kimetupa option ya kusubmitt maeneo ambayo tutakwenda kufanyia field.
Kutokana na ugumu/ kutokua na connection nimeona ni vyema niweke chapisho hili ili wakuu mnipe experience na muongozo wa kupata maeneo mazuri kwa ajili ya kufanyia field hiyo (iwe Taasisi/ Ofisi/Kampuni).
NB: 1. Eneo la kufanyia field liwe Mkoa wa Dar es Salaam
2.Nina tatizo la usikivu (Hearing Loss), Hivyo katika kampuni/taasisi/ ofisi mtakazoni-suggest kidogo ziwe rafiki kulingana na hii hlli yangu
Naomba kuwasilisha
Mimi ni Mwanafunzi wa Chuo cha Mipango, Level ya Shahada ya Mipango na Usimamizi Miradi (BDPPM) mwaka wa pili, Kimsingi tunatarajia kufanya field (Mwezi wa 6) ila kwasasa chuo kimetupa option ya kusubmitt maeneo ambayo tutakwenda kufanyia field.
Kutokana na ugumu/ kutokua na connection nimeona ni vyema niweke chapisho hili ili wakuu mnipe experience na muongozo wa kupata maeneo mazuri kwa ajili ya kufanyia field hiyo (iwe Taasisi/ Ofisi/Kampuni).
NB: 1. Eneo la kufanyia field liwe Mkoa wa Dar es Salaam
2.Nina tatizo la usikivu (Hearing Loss), Hivyo katika kampuni/taasisi/ ofisi mtakazoni-suggest kidogo ziwe rafiki kulingana na hii hlli yangu
Naomba kuwasilisha