Patriot
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 5,753
- 4,865
Nimeanzisha uzi huu ili kila aliye na utaalamu, atueleze ni jinsi gani ofisi ya CAG inavyofanyakazi zake.
Bodi ya mikopo kulikuwa na madudu, vyuoni madudu, wizarani madudu.
Mambo ya ndani madudu: Lugumi, Vitambulisho, Uniform, ....
Huko wizara ya Kilimo: tusubiri skandali za vocha na ruzuku
Iliyokuwa wizara ya Sayansi: TCRA madudu, sijui COSTECH kukoje? Na vyuoni kwao kule Mandela madudu.
Waiziri mkuu na tamisemi zao madudu na sukari yao madudu tupu!
Wakati haya yanatokea, CAG alishajiwekea kitu kinaitwa value for money. Kwa mfano wa wanafunzi hewa, nilitegemea awakague vyuoni na bodi ya mikopo kuona kama matumizi yao yanaendana na idadi ya wanafunzi. Value for money.
Majengo yanayojengwa na mifuko ya jamii na daraja mashuhuri la Kigamboni, nilitegemea aone madudu yao pia.
Najiuliza ofisi hiyo ina mapungufu gani ya kitaalamu kiasi kwamba sasa ndo mambo yanafumuka nje ya ripoti yao?
Bodi ya mikopo kulikuwa na madudu, vyuoni madudu, wizarani madudu.
Mambo ya ndani madudu: Lugumi, Vitambulisho, Uniform, ....
Huko wizara ya Kilimo: tusubiri skandali za vocha na ruzuku
Iliyokuwa wizara ya Sayansi: TCRA madudu, sijui COSTECH kukoje? Na vyuoni kwao kule Mandela madudu.
Waiziri mkuu na tamisemi zao madudu na sukari yao madudu tupu!
Wakati haya yanatokea, CAG alishajiwekea kitu kinaitwa value for money. Kwa mfano wa wanafunzi hewa, nilitegemea awakague vyuoni na bodi ya mikopo kuona kama matumizi yao yanaendana na idadi ya wanafunzi. Value for money.
Majengo yanayojengwa na mifuko ya jamii na daraja mashuhuri la Kigamboni, nilitegemea aone madudu yao pia.
Najiuliza ofisi hiyo ina mapungufu gani ya kitaalamu kiasi kwamba sasa ndo mambo yanafumuka nje ya ripoti yao?