zuberi Abraham
JF-Expert Member
- Feb 13, 2016
- 480
- 389
shaurimbaya kuna kitu kakisema. CAG kiukweli na uhalisia hana uwezo wa kuaudit idara na taasisi ama wizara na bodi zote za serikali kutokana na less resources (staff, fund, time) coz auditor kutoa reliable opinion anahitaji time frame ya kumtosha, staff tena skilled and competent staff, fund ya kutosha na kufuata code of ethics zote. Kibaya most of them ofisi ya CAG haina kwa sass mwezi huu wa 10 kuna auditing firm zishapewa kazi kutokana na competence yako kwenda kuaudit baadhi ya taasisi,idara, bodi na baadhi ya wizara na halimashauri. MUTTAZ hope umelielewa hili.