Ofisi ya CAG ilikuwa wapi ktk huu ufisadi nchi nzima?

Ofisi ya CAG ilikuwa wapi ktk huu ufisadi nchi nzima?

Nimeanzisha uzi huu ili kila aliye na utaalamu, atueleze ni jinsi gani ofisi ya CAG inavyofanyakazi zake.
Bodi ya mikopo kulikuwa na madudu, vyuoni madudu, wizarani madudu.
Mambo ya ndani madudu: Lugumi, Vitambulisho, Uniform, ....
Huko wizara ya Kilimo: tusubiri skandali za vocha na ruzuku
Iliyokuwa wizara ya Sayansi: TCRA madudu, sijui COSTECH kukoje? Na vyuoni kwao kule Mandela madudu.
Waiziri mkuu na tamisemi zao madudu na sukari yao madudu tupu!

Wakati haya yanatokea, CAG alishajiwekea kitu kinaitwa value for money. Kwa mfano wa wanafunzi hewa, nilitegemea awakague vyuoni na bodi ya mikopo kuona kama matumizi yao yanaendana na idadi ya wanafunzi. Value for money.
Majengo yanayojengwa na mifuko ya jamii na daraja mashuhuri la Kigamboni, nilitegemea aone madudu yao pia.

Najiuliza ofisi hiyo ina mapungufu gani ya kitaalamu kiasi kwamba sasa ndo mambo yanafumuka nje ya ripoti yao?
Wewe bila shaka hujui kusoma reports na yumkini Hata uelewa wako nomdogo sana! Yaani kama kazi ya CAG huioni na umuhimu wa CAG huuoni Hata kuuhisi Basi wewe nimiongoni mwa walaji wa nchi hii! Nawewe sidhani kama nimwanaccm mwenzangu Bali nimamluki! CAG na ofisi yake ndo imeanzisha dhana ya uwajibikaji hapa nchini wewe unabeza kweli kwakweli nabii sirahisi akubaliwe kwao!

Hivi kwa takribani miaka saba hadi kumi ilopita ofisi ya CAG utailinganisha na ofisi ya TAKUKURU Kweli? Mzee wa watu Utouh katuonyesha dhana halisi ya uwajibikaji na matumizi ya rasilimali za nchi Leo hii unajitokeza mbulula una diliki Hata Kutoa povu kuikashfu ofisi ya CAG bila shaka utakuwa umekurupushwa usingizini au hapa jamii forum mtu anakuwa expert kwa kuanzisha thread yake haijalishi niyakitaalamu au ya kinafiki na kishirikina!

Bila uwepo wa cag kweli tungekuwa huruma na rasilimali za nchi zilivyokuwa zinaliwa nakutafunwa, bila CAG tungejua pale TPA Mafuta yanapita bila kupimwa?, bila CAG tungejua mambo ya EPA, ESCROW, Madudu ya TANESCO, Wafanyakazi hewa, Mashirika ya Umma yalivyokuwa yanaliwa, UDA tungeijua niyanani, PRIDE tungejua niyanani? I wish ningekuwa Mhasibu sio Siri namm ningeenda kusaidiana na CAG kuimulika nchi yetu ili iwe safi na nyeupe!
 
Ukiangalia thrd, inaomba kuelezwa ofisi hiyo ina mapungufu gani. Ktk makosa tunayoyafanya ni kuamini kwamba kila mtu ktk ofisi yake anafanya kazi nzuri sana na hastahili kukosolewa. Ukisema uzembe wake anajilinda kuonyesha perfection yake.

Kwa message yako hii, unajaribu kusema ofisi ile imefanya kazi perfectly, na hakuna kasoro yoyote. Watu wako maofisini na wanaeleza kinachotokea ktk maofisi yao wanapokutana na hao staff wa CAG. Ok CAG alijenga ofisi kadhaa na kuzifungua kwa mbwembwe eti wasiwe wapangaji, kama ni hivyo inakuwaje wanapokwenda kukagua wanataka ofa ofa kwa kila kitu? Usafiri wapewe, lunch, accommodation, nk. watu wanaotaka ofa kiwango hicho, wana ubavu wa kuripoti makosa kweli?

Mambo ya hati safi za halmashauri, ni kweli kuna hati safi? Sasa Wakurugenzi wapya mbona wanalizwa na kamati za bunge na wanakubali halmashauri zimeoza! Tumeona Gairo mkurugenzi akisema uozo. Mradi mkubwa wa Lugumi ulisharipotiwa wapi? hilo jengo hewa la wizara ya elimu wapi liliropitwa? Chuo Kikuu gani kiliwahi kutajwa kuwa na wanafunzi hewa?

Ripoti za CAG ni kama hotuba za kisiasa. unakuta maneno kama ufisadi mkubwa umefanyika, sawa mkubwa kiasi gani? Halmashauri imepata hati safi. Safi maana yake ni nini? Yaani hakuna pesa iliyopotea au zimepotea robo tu au sifuri? Ripoti za kusema kuna wafanyakazi hewa bila kuonyesha magnitude yake ni unprofessional. Sema kuna wafanyakazi hewa milioni moja na wametoza pesa za umma bilioni mia kadhaa! tusitake ku massage uozo.

Value for money; Jengo la milioni 500 linajengwa kwa bilioni 1 serikalini na CAG anasema utaratibu ulifuatwa. Majengo ya aina hii yamejaa kila sehemu ya nchi na huenda hata hizo ofisi za CAG zilijengwa kwa kufuata utaratibu wa aina hii.
Mapungufu kila mtu anayo ila usiangalie mabaya tu Bali weigh out kati ya mabaya yake na mazuri yake na ukifanya hivyo utaona mazuri nilukuki ukilinganisha na mabaya! Nabaada ya kuyaona hayo mabaya fuatilia uone ninani Mwenye kuyakumbatia je nicag au serikali!?
 
CAG wala rushwa wakubwa.. sio indepedent auditors.. na waoga sana kufanya kazi yao...

ukitaka kujua serious audits.. tafuta report ya BOT EPA iliyofanywa na ernst and young UK...

unafikiri kwa nini CAG office haikupewa ile kazi au kampuni za audits za kibongo..... walijua hawa wapenda rushwa na waoga hawawez andika ukweli
 
CAG anafanyia ukaguzi maeneo ambayo wapiga Deal wamedhurumiana ili kukomoa kina flani
 
kaka usidanganye watu.. EPA sio CAG office...

ilifanywa na ernst and young UK

CAG office haina meno ya kuandika report kama ile ya epa kwanza ni wapenda rushwa na waoga..

kwenye escrow cag ameshindwa kujua pesa za uma au za mtu binafsi... ila ingekuwa big 4 hapo tena wametoka majuu huko wangeandika mambo hadi tungekimbiana...

Wametumia mabilioni mangapi kucopy report ya Ernst & Young?



Wewe bila shaka hujui kusoma reports na yumkini Hata uelewa wako nomdogo sana! Yaani kama kazi ya CAG huioni na umuhimu wa CAG huuoni Hata kuuhisi Basi wewe nimiongoni mwa walaji wa nchi hii! Nawewe sidhani kama nimwanaccm mwenzangu Bali nimamluki! CAG na ofisi yake ndo imeanzisha dhana ya uwajibikaji hapa nchini wewe unabeza kweli kwakweli nabii sirahisi akubaliwe kwao!

Hivi kwa takribani miaka saba hadi kumi ilopita ofisi ya CAG utailinganisha na ofisi ya TAKUKURU Kweli? Mzee wa watu Utouh katuonyesha dhana halisi ya uwajibikaji na matumizi ya rasilimali za nchi Leo hii unajitokeza mbulula una diliki Hata Kutoa povu kuikashfu ofisi ya CAG bila shaka utakuwa umekurupushwa usingizini au hapa jamii forum mtu anakuwa expert kwa kuanzisha thread yake haijalishi niyakitaalamu au ya kinafiki na kishirikina!

Bila uwepo wa cag kweli tungekuwa huruma na rasilimali za nchi zilivyokuwa zinaliwa nakutafunwa, bila CAG tungejua pale TPA Mafuta yanapita bila kupimwa?, bila CAG tungejua mambo ya EPA, ESCROW, Madudu ya TANESCO, Wafanyakazi hewa, Mashirika ya Umma yalivyokuwa yanaliwa, UDA tungeijua niyanani, PRIDE tungejua niyanani? I wish ningekuwa Mhasibu sio Siri namm ningeenda kusaidiana na CAG kuimulika nchi yetu ili iwe safi na nyeupe!
 
Ukiangalia thrd, inaomba kuelezwa ofisi hiyo ina mapungufu gani. Ktk makosa tunayoyafanya ni kuamini kwamba kila mtu ktk ofisi yake anafanya kazi nzuri sana na hastahili kukosolewa. Ukisema uzembe wake anajilinda kuonyesha perfection yake.

Kwa message yako hii, unajaribu kusema ofisi ile imefanya kazi perfectly, na hakuna kasoro yoyote. Watu wako maofisini na wanaeleza kinachotokea ktk maofisi yao wanapokutana na hao staff wa CAG. Ok CAG alijenga ofisi kadhaa na kuzifungua kwa mbwembwe eti wasiwe wapangaji, kama ni hivyo inakuwaje wanapokwenda kukagua wanataka ofa ofa kwa kila kitu? Usafiri wapewe, lunch, accommodation, nk. watu wanaotaka ofa kiwango hicho, wana ubavu wa kuripoti makosa kweli?

Mambo ya hati safi za halmashauri, ni kweli kuna hati safi? Sasa Wakurugenzi wapya mbona wanalizwa na kamati za bunge na wanakubali halmashauri zimeoza! Tumeona Gairo mkurugenzi akisema uozo. Mradi mkubwa wa Lugumi ulisharipotiwa wapi? hilo jengo hewa la wizara ya elimu wapi liliropitwa? Chuo Kikuu gani kiliwahi kutajwa kuwa na wanafunzi hewa?

Ripoti za CAG ni kama hotuba za kisiasa. unakuta maneno kama ufisadi mkubwa umefanyika, sawa mkubwa kiasi gani? Halmashauri imepata hati safi. Safi maana yake ni nini? Yaani hakuna pesa iliyopotea au zimepotea robo tu au sifuri? Ripoti za kusema kuna wafanyakazi hewa bila kuonyesha magnitude yake ni unprofessional. Sema kuna wafanyakazi hewa milioni moja na wametoza pesa za umma bilioni mia kadhaa! tusitake ku massage uozo.

Value for money; Jengo la milioni 500 linajengwa kwa bilioni 1 serikalini na CAG anasema utaratibu ulifuatwa. Majengo ya aina hii yamejaa kila sehemu ya nchi na huenda hata hizo ofisi za CAG zilijengwa kwa kufuata utaratibu wa aina hii.

ofisi ya CAG yenyewe rim mmoja ya karatasi wanaiwekea 200usd, biki mmoja wanaiwekea 80usd,
na hata kule arumeru ekari moja ya sh 6m wawao NSSF waliinunua shi 800m na bado akasema hamna UFISAD na taratibu za manunuzi zilifuatwa
 
kaka usidanganye watu.. EPA sio CAG office...

ilifanywa na ernst and young UK

CAG office haina meno ya kuandika report kama ile ya epa kwanza ni wapenda rushwa na waoga..

kwenye escrow cag ameshindwa kujua pesa za uma au za mtu binafsi... ila ingekuwa big 4 hapo tena wametoka majuu huko wangeandika mambo hadi tungekimbiana...

Wametumia mabilioni mangapi kucopy report ya Ernst & Young?
Sasa wewe ndo Unataka kudanganya, hao Akina Ernest and Young siku PwC hufanya kazi kwa niaba ya cag na hushirikiana na cag kufanya kazi Zake fuatilia uone kazi nyingi tu za Mashirika cag ana outsource kwa haya makampuni ya ukaguzi na sheria inaruhusu hilo so Hata ukifanya wewe unafanya kwa niaba ya cag kaka! Nimejaribu kuipitia Hata sheria ya cag inasema hivyo Hata Mimi mwanzo nilikuwa najiuliza why this ndo nikajaelewa sio kazi zote za ukaguzi anazifanya cag kazi nyingi ana outsource
 
Wanasema...."Mafisadi wapo Chadema. Hawapo serikalini/Ccm".

Huu ndio uzuri wa kutokuwa na uwezo na upeo wa kuchambua jambo gumu lililo mezani,lazima utakimbilia tu kutafuta na kuokoteza tuvitu rahisi ili nawe angalau uwe umechangia!
 
Wanasema...."Mafisadi wapo Chadema. Hawapo serikalini/Ccm".

Huu ndio uzuri wa kutokuwa na uwezo na upeo wa kuchambua jambo gumu lililo mezani,lazima utakimbilia tu kutafuta na kuokoteza tuvitu rahisi ili nawe angalau uwe umechangia!
 
kaka acha ubishi.. kuna normal kama cag ambazo kihasibu wanaita internal audits.. cag ndio mmiliki wa internal audits zote za serikal na taasisi zake.. so ndio anaweza aka outsource kampun yoyote ifanye kwa niaba yake..

halafu pia kuna scandal audits na external audits.. ambazo kama epa.. cag anatangaza tenda kwa niaba ya rais.. kampuni zinaomba kwa kushindanishwa.. mchakato wa tenda...

atakeshinda tenda anakuja kufanya hiyo kazi insepedent.. CAG hausiki hata kidogo anakaa pembeni tu.. na report ikitoka anapewa rais.

so usilete uongo kwenye epa kulikuwa na staff yeyote wa CAG au CAG alikuwepo na timu yake akiwasaidia wazungu hao walioshinda tenda.. huo ni uongo

Sasa wewe ndo Unataka kudanganya, hao Akina Ernest and Young siku PwC hufanya kazi kwa niaba ya cag na hushirikiana na cag kufanya kazi Zake fuatilia uone kazi nyingi tu za Mashirika cag ana outsource kwa haya makampuni ya ukaguzi na sheria inaruhusu hilo so Hata ukifanya wewe unafanya kwa niaba ya cag kaka! Nimejaribu kuipitia Hata sheria ya cag inasema hivyo Hata Mimi mwanzo nilikuwa najiuliza why this ndo nikajaelewa sio kazi zote za ukaguzi anazifanya cag kazi nyingi ana outsource
 
Mm napingana na nyie wote hapo huu bilashaka labda kuna issue mmeelekezwa kuitoa lakini ukiangalia haya yote uyaonayo watumishi hewa cag alisharipoti kitambo sana tena kama sikosei alikuwa utouh ila serikali haikuchukua hatua stahiki kwa muda muafaka, issue za loan board utouh alishaziripot, halmashauri nyingi zimejirekebisha kutokana na report za ukaguzi za cag huko nyuma hali ilikuwa mbaya sana, kumbukeni cag aliwahikagua soko la Kariakoo na ubungo terminal tena ulikuwa niukaguzi maalum lakini hadi hii Leo report yake haikutolewa serikali! Kwa ufupi ninachokiona niserikali kuwa kimya au kuchelewa kufanyia kazi mapendekezo ya report ya CAG! Navilevile tuangalia pia primary duty ya cag sio kudetect errors and fraud yeye primary duty yake ni Kutoa independent opinion! Ndivyo tulivyofundishwa huko vyuoni au wenzetu mmepita vyuo gani hewa au? Na nibora tuwaachie wataalum watoe maoni yao kuliko sisi tusionaupeo na ukaguzi Kutoka mapovu kiasi hiki!
Naomba nikusaidie mkuu ISA (International Standard on Auditing) 800 kwa sasa inahitaji auditor kudetect na kuprevent fraud, kwa maana hiyo hayo mambo ya independent opinion pekee ni ya kizaman kwa sasa credibility ya audit report ni kudetect, prevent fraud, going concern na hiyo opinioni usemaya so hata CAG is requred to do so according to ISA 800
 
Umeshawahi kuisikia serikali/ccm ikisema ina mafisadi? Wanawaita watu wanaoifanya serikali/ccm "shamba la bibi".

Halafu, siyo lazima kila mtu achangie kama unavyopenda wewe.

Ishu hapa sio kusikia serikali au ccm inasema nini, ishu hapa ni namna ya ofisi ya CAG inavyofanya kazi, hakuna siasa hapa. Sikulaumu, kwani ukaguzi wa mahesabu ni taaluma, kuchangia lazima ujua abc's zake, kama huzijui na unapenda kuchangia basi ndio kama hivyo utatafuta ka 'angle' kako ambako nawe unadhani una ujuzi nako au ka 'angle' kasichohitaji ujuzi ili utiririke. Tiririka mwanangu kwa uwezo na raha zako, don't take me serious! Kwani hata mimi nilipoona maji ni marefu nikapata la kuchangia kutoka katika ulicho post, mwee umeniokoaje!!? Hayo ma ISA 800 mi nayajulia wapi.
 
kaka acha ubishi.. kuna normal kama cag ambazo kihasibu wanaita internal audits.. cag ndio mmiliki wa internal audits zote za serikal na taasisi zake.. so ndio anaweza aka outsource kampun yoyote ifanye kwa niaba yake..

halafu pia kuna scandal audits na external audits.. ambazo kama epa.. cag anatangaza tenda kwa niaba ya rais.. kampuni zinaomba kwa kushindanishwa.. mchakato wa tenda...

atakeshinda tenda anakuja kufanya hiyo kazi insepedent.. CAG hausiki hata kidogo anakaa pembeni tu.. na report ikitoka anapewa rais.

so usilete uongo kwenye epa kulikuwa na staff yeyote wa CAG au CAG alikuwepo na timu yake akiwasaidia wazungu hao walioshinda tenda.. huo ni uongo
Dah inabidi tumtembelee CAG tumuulize haya maswali! Sasa kama mtu akiwa outsourced anafanya kazi na akimaliza anaipeleka report Moja kwa Moja kwa Rais kuna umuhimu gani wakuwa na cag? Yumkin Kampuni ya ukaguzi ikifanya kazi kwa niaba ya cag yenyewe ndo itahusika na kuisani report husika! Kitu ambacho nikinyume na katiba na sheria ya ukaguzi! Hata kama umefanya wewe cag ndo atakayesaini report kwa sababu cag ndo yupo answerable na accountable kwa report zote za ukaguzi! Hiyo Kampuni yako yenyewe itahusika na kusaini management letter pekee! Hicho ndo nikijuacho nandomaana cag ndo hutolea ufafanuzi wowote ule juu ya report Zake au ulowahiwasikia hao Jamaa zako wa UK wakaja kutolea ufafanuzi juu ya mwenendo wa epa? Na kama cag hashirikiani nao kuifanya kazi alijuaje uozo ndani ya epa nakila Mara tumeona Kwenye magazeti cag utouh akielezea jinsi gani report ya epa ilimpa wakati mgumu Kipindi cha ukaguzi wake? Hata magazeti wewe naona husomagi!
 
Naomba nikusaidie mkuu ISA (International Standard on Auditing) 800 kwa sasa inahitaji auditor kudetect na kuprevent fraud, kwa maana hiyo hayo mambo ya independent opinion pekee ni ya kizaman kwa sasa credibility ya audit report ni kudetect, prevent fraud, going concern na hiyo opinioni usemaya so hata CAG is requred to do so according to ISA 800
Fine hiyo ISA 800 imetoka lini? Na hayo mambo aliyoyasema Jamaa niyalini?
 
Mapungufu kila mtu anayo ila usiangalie mabaya tu Bali weigh out kati ya mabaya yake na mazuri yake na ukifanya hivyo utaona mazuri nilukuki ukilinganisha na mabaya! Nabaada ya kuyaona hayo mabaya fuatilia uone ninani Mwenye kuyakumbatia je nicag au serikali!?
Kaka/Dada hapo unakosea hii ni profession ni sawa na doctor professional wa binadamu kufanyia kichwa wakati ni miguu. Hiv unajua auditor liability in making decision hasa kwa kua na ripoti isiyo kua completely ndicho kinachotokea hapa mkuu huwezi sema kuna watumishi hewa bila kuspecify na kufuata standards mkuu
 
Ofisi ya CAG ina uozo sana inatakiwa kujitathimini sana. Inafanya kazi unprofessional
 
Fine hiyo ISA 800 imetoka lini? Na hayo mambo aliyoyasema Jamaa niyalini?
Sawa najua ni currently means hata tangia imekua effected haina miaka mitatu ila kuna mambo mengi kama majengo ya wizara kweli haikuliona hili?? Tukubali ofisi inayokagua fedha za serikali ina ufanisi mdogo sana na hapa ni kuanzia kwa requred staff kuwa wachache na mambo ya kisissa na kubebana kwenye report
 
Mk
Nimeanzisha uzi huu ili kila aliye na utaalamu, atueleze ni jinsi gani ofisi ya CAG inavyofanyakazi zake.
Bodi ya mikopo kulikuwa na madudu, vyuoni madudu, wizarani madudu.
Mambo ya ndani madudu: Lugumi, Vitambulisho, Uniform, ....
Huko wizara ya Kilimo: tusubiri skandali za vocha na ruzuku
Iliyokuwa wizara ya Sayansi: TCRA madudu, sijui COSTECH kukoje? Na vyuoni kwao kule Mandela madudu.
Waiziri mkuu na tamisemi zao madudu na sukari yao madudu tupu!

Wakati haya yanatokea, CAG alishajiwekea kitu kinaitwa value for money. Kwa mfano wa wanafunzi hewa, nilitegemea awakague vyuoni na bodi ya mikopo kuona kama matumizi yao yanaendana na idadi ya wanafunzi. Value for money.
Majengo yanayojengwa na mifuko ya jamii na daraja mashuhuri la Kigamboni, nilitegemea aone madudu yao pia.

Najiuliza ofisi hiyo ina mapungufu gani ya kitaalamu kiasi kwamba sasa ndo mambo yanafumuka nje ya ripoti yao?
Mkuu, ukistaajabu ya musa utasikia ya CCM. Badala ya serikali kuwawezesha kifedha wataalamu kufanya ukaguzi, wao wamejikita kununua mabomu na magari ya washawasha ili kuwadhibiti UKAWA/UKUTA. Hiki ndicho kipaumbele cha serikali.
 
soma uelewe acha ubishi.. huoni nimesema cag kwa niaba ya rais.n cag ndio anatangaza tenda kwa niaba ya rais na ndie anaepewa tenda report kwa niaba ya rais.. na ndie anaifanyia kazi kwa niaba ya rais... maana rais sio mhasibu... yeye ni kumkabidhi na kunshauri maana rais anaweza asielewe mambo ya kihasib.... soma uelewe


Dah inabidi tumtembelee CAG tumuulize haya maswali! Sasa kama mtu akiwa outsourced anafanya kazi na akimaliza anaipeleka report Moja kwa Moja kwa Rais kuna umuhimu gani wakuwa na cag? Yumkin Kampuni ya ukaguzi ikifanya kazi kwa niaba ya cag yenyewe ndo itahusika na kuisani report husika! Kitu ambacho nikinyume na katiba na sheria ya ukaguzi! Hata kama umefanya wewe cag ndo atakayesaini report kwa sababu cag ndo yupo answerable na accountable kwa report zote za ukaguzi! Hiyo Kampuni yako yenyewe itahusika na kusaini management letter pekee! Hicho ndo nikijuacho nandomaana cag ndo hutolea ufafanuzi wowote ule juu ya report Zake au ulowahiwasikia hao Jamaa zako wa UK wakaja kutolea ufafanuzi juu ya mwenendo wa epa? Na kama cag hashirikiani nao kuifanya kazi alijuaje uozo ndani ya epa nakila Mara tumeona Kwenye magazeti cag utouh akielezea jinsi gani report ya epa ilimpa wakati mgumu Kipindi cha ukaguzi wake? Hata magazeti wewe naona husomagi!
 
Back
Top Bottom