Official Video: Zilipendwa by All WCB Artists

Official Video: Zilipendwa by All WCB Artists


Leo tumefanikiwa kupata interview Fupi sana na simba kuhusu machahe
Maswali yetu mengi yalilenga kutambua kuhusu alivoichukulia nyimbo SEDUCE ME na alitoa majibu kama ifuatavyo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa mimi ambaye kwenye my favourite list hamna nyimbo ya kibongo na kuna albam ya the chainsmokers katika simu yangu..aisee kiba katoa bonge la nyimbo,hyo zilipendwa biti zilezile na melody
Tunafanana mkuu [HASHTAG]#The[/HASHTAG] one, [HASHTAG]#break[/HASHTAG] up evryting, [HASHTAG]#paris[/HASHTAG] [HASHTAG]#smthn[/HASHTAG] just like this.... Alikiba n level nyingine kabisa
 
Mwananchi mmoja kajivika mabomu kumnusuru raia mmoko asipigwe na familia.

Utaipata huko instagram, yaan raia anabebwa asiuwawe na familia duuu!!
 
Sikatai tupo kwenye Soko huria/free market hata ukiona jirani yako kajenga saloon leo nawe unaweza kujenga pembeni yake tu.

All most kama siku tatu hivi zimepita alianza msanii Ali Kiba kutoa wimbo wake then After a short hour wakaja wasanii Wa kundi la WCB nao wakatoa wimbo wao.

Swali Je kulikua na Ulazima wa WCB kutoa wimbo wao wakati Ali kiba kashatoa wake au walikua wanasubiri Kwanza Ali kiba atoe wimbo wake??

Infact sipo upande wowote ule hata nyimbo zote sijasikiliza ila nimeona kila Upande ukivutia kwake tena wengine kwa lugha zisizo na mantiki kwa jamii.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa hiyo walipaswa wasitoe wimbo mpaka waombe kibali kwa Kiba?, Mbona Kiba katoa wimbo wakati Fid Q, Aslay nao wametoa nyimbo?, kwa nini hakusubiri kwanza?
Dawa ni yeye pia Kutoq nyimbo nyingine
 
Mpaka leo moja ya filamu kubwa duniani ya shawshank redemption pamoja na kuwa na box office nzuri, lakini bado kuna lawama zinatupwa kwa filamu shindani ambazo nazo zilitoka same time forrest gump na pulp fiction...kutoa vitu kwa pamoja kama una lengo la kutengeneza fedha inabidi timing pia iwe nzuri...kama unalenga mapato hizo movies kubwa tatu zingetoka nyakati tofauti hata kwa span ya wiki moja wangetengeneza hela kubwa zaidi

Kiba katoa wimbo saa mbili asubuhi, same day Diamond na crew yake wanatoa saa tano usiku.Mbaya zaidi ni jeshi zima la wcb ambalo kila mmoka ni star

Management ya wcb kama ilitoa kwa coincident bado inapaswa kulaumiwa kwani haijaisaidia wcb bali imemkuza yule mwingine

wcb wanatoa nyimbo kila siku so in anyway iko masikioni mwa watu kila siku.Kiba yeye huwa anapotea na kurudi na msisahau Kiba hata akikaa miaka 10 wale vijana wa enzi zile wa conderela na nakshi nakshi bado watakuwa naye aidha aimbe vibaya au vizuri...washabiki wengi wa kiba ni royal kwani hakuna jipya alilo nalo ni yule yule tu!! hana skendo hana kuanzisha mabifu

Trend ya tofauti ya viewers laki nne si nzuri kwa wcb na hakuna excuse....kila aliyeimba wcb ni star na angeweza kabisa kuchuana na ali kiba

okay, kama diamond bado mswahili maana siku za karibuni kaanzisha yeye bifu basi angempima kiba vs lavalava au kiba vs maromboso ili apate cha kuongea

Diamond ni wa kimataifa,maamuzi, matendo na kila afanyacho lazima ki focus hiyo success yake.Diamond kama anataka kuwa mkubwa ange focus kushindana na akina wizkid, davido n.k

Katika hili Kiba kaonekana KING...hakuna kujitetea
 
Mpaka leo moja ya filamu kubwa duniani ya shawshank redemption pamoja na kuwa na box office nzuri, lakini bado kuna lawama zinatupwa kwa filamu shindani ambazo nazo zilitoka same time forrest gump na pulp fiction...kutoa vitu kwa pamoja kama una lengo la kutengeneza fedha inabidi timing pia iwe nzuri...kama unalenga mapato hizo movies kubwa tatu zingetoka nyakati tofauti hata kwa span ya wiki moja wangetengeneza hela kubwa zaidi

Kiba katoa wimbo saa mbili asubuhi, same day Diamond na crew yake wanatoa saa tano usiku.Mbaya zaidi ni jeshi zima la wcb ambalo kila mmoka ni star

Management ya wcb kama ilitoa kwa coincident bado inapaswa kulaumiwa kwani haijaisaidia wcb bali imemkuza yule mwingine

wcb wanatoa nyimbo kila siku so in anyway iko masikioni mwa watu kila siku.Kiba yeye huwa anapotea na kurudi na msisahau Kiba hata akikaa miaka 10 wale vijana wa enzi zile wa conderela na nakshi nakshi bado watakuwa naye aidha aimbe vibaya au vizuri...washabiki wengi wa kiba ni royal kwani hakuna jipya alilo nalo ni yule yule tu!! hana skendo hana kuanzisha mabifu

Trend ya tofauti ya viewers laki nne si nzuri kwa wcb na hakuna excuse....kila aliyeimba wcb ni star na angeweza kabisa kuchuana na ali kiba

okay, kama diamond bado mswahili maana siku za karibuni kaanzisha yeye bifu basi angempima kiba vs lavalava au kiba vs maromboso ili apate cha kuongea

Diamond ni wa kimataifa,maamuzi, matendo na kila afanyacho lazima ki focus hiyo success yake.Diamond kama anataka kuwa mkubwa ange focus kushindana na akina wizkid, davido n.k

Katika hili Kiba kaonekana KING...hakuna kujitetea

Dah umenikumbusha shawshank redemption..pale Morgan Freeman kule Tim robins..haya ya kina kiba na diamond mi siyajui vizuri
.
 
exactly

Akifa shekhe kazi ya Mungu
Akifa mlevi sababu ya Pombe
 
Mi sina timu ila wimbo wa Kiba mzuri jamani ukiusikiliza hauchoshi weekend hii ulikua kwenye repeat,yani mtaani watu wamepagawa.Halafu unaisha haraka yani unatamani uendelee.Sijui kama promo imechangiwa na bifu lao ina nachojua wimbo mtamu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom