gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,716
Katika watu ambao diamond alitakiwa kawafukuza kazi ni huyu meneja.
Yaan anataka kutuambia kwamba Diamond sio Bora mpaka abwebwe na hao wengine including yeye?
There was no logic ya kusema kwamba kwenye huo wimbo diamond kaimba chorus moja tu na kwamba hata yeye ameimba.
Unless kama.alikuwa anataka kutuambia kua wcb ni chama kubwa hilo sawa.
Ila sio atujie n kanuni ya kumshondanish Kiba na wcb yote hata enzi zile za "nani zaidi" redion walikuwa wanashindanisha mtu kwa mtu ma kundi kwa kundi. Na hawa washindanishwa nilazime waimbee nyimbo zenye mahadhi yamayoshabihiana. Mfano- solo artist watashindanishwa solo artist mwenzie
Sent using Jamii Forums mobile app