Official Video: Zilipendwa by All WCB Artists

Official Video: Zilipendwa by All WCB Artists

Nilikuwa simkubali sanaa Mond ila kwa kazi anazopiga kwa sasa najikuta tu navutika huyu dogo ni zaidi ya wanaopambanishwa naye
 
Sikatai tupo kwenye Soko huria/free market hata ukiona jirani yako kajenga saloon leo nawe unaweza kujenga pembeni yake tu.

All most kama siku tatu hivi zimepita alianza msanii Ali Kiba kutoa wimbo wake then After a short hour wakaja wasanii Wa kundi la WCB nao wakatoa wimbo wao.

Swali Je kulikua na Ulazima wa WCB kutoa wimbo wao wakati Ali kiba kashatoa wake au walikua wanasubiri Kwanza Ali kiba atoe wimbo wake??

Infact sipo upande wowote ule hata nyimbo zote sijasikiliza ila nimeona kila Upande ukivutia kwake tena wengine kwa lugha zisizo na mantiki kwa jamii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa mimi ambaye kwenye my favourite list hamna nyimbo ya kibongo na kuna albam ya the chainsmokers katika simu yangu..aisee kiba katoa bonge la nyimbo,hyo zilipendwa biti zilezile na melody
 
Kila mtu na ratiba zake, pengine walipanga na wao watoe siku hiyo.

Labda nikuulize kuna tatizo wao kutoa nyimbo siku moja? Kama lipo liko wapi.?
 
kwao inaweza kua sio sababu pia inawasaidia kujua ubora wao ila the issue ni hawa mashabiki wa hizo pande mbili na maneno yao yasijo na tija kwa jamii,it seems ni kama vita kwao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eboh!! Bado tunapangiana vya kufanya.
Mbona zimetoka nyimbo nyingi tu, hizo za hao wawili zina nini!!!!!!!!
 
Eboh!! Bado tunapangiana vya kufanya.
Mbona zimetoka nyimbo nyingi tu, hizo za hao wawili zina nini!!!!!!!!
hatupangiani ba ndugu ila kwanini mashabiki wa pande hizo mbili wengine mpaka wananuniana na kutoleana lugha zisizo na Staha??? hebu pitia machapisho mengi huku ba ndugu wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimezisikiliza kwa makini nyimbo hizi zote mbili, ukweli zote ni nzuri sana na zimepigwa kwa kufuata kanuni za uandishi na uimbaji wa muziki. video zao pia ni nzuri. Tofauti ipo katika matumizi ya nyimbo hizo. Zilipendwa huwa tunaitumia sana kwa sasa katika vilabu vya pombe za kienyeji na kweli hutuburudisha saaanaaa!!!. Seduce me ni wimbo wa kuburudisha katika ngazi ya majukwaa makubwa ya kimziki kimataifa pengine na kitaifa. Muziki wa namna hii hupendwa saaaanaaaa !!!! na vijana kwa jumbe zilizomo.
Haya ndo niliyoona katika nyimbo hizi
Nawasilisha
 
Kwani yericko ndo nani kwenye mziki wa bongo hadi umtumie kama reference ya kutambua ubora wa mziki?

Mleta mada acha kuwa biased!

brain is the beautiful part of the body.
hahahaha acha ujinga ina maana humjui yericko kuwa ni mbobezi wa mambo ya ujasusi na upelelezi na alisomea mambo ya ujasusi uko Russia miaka ya 70... wewe utakuwa mgebi nchi hii...Yericko ni jasusi mkuu.....
 
5ca2ffcc7731d60d1d317c02478b1f2d.jpg

6f21a17a57dd34ba3cfd7b24aa975473.jpg


Ziache media za burudani ziongeee.
7408ad042bfe56c7224be1639e464f15.jpg

Nyimbo imejaa majina ya watu HAICHEZEKI [emoji23]
 
hahahaha acha ujinga ina maana humjui yericko kuwa ni mbobezi wa mambo ya ujasusi na upelelezi na alisomea mambo ya ujasusi uko Russia miaka ya 70... wewe utakuwa mgebi nchi hii...Yericko ni jasusi mkuu.....
Hahaha aendelee na ujasusi wake, hana linkage na muziki huyu muhenga!

brain is the beautiful part of the body.
 
Wanao mchukia Diamond wengi ni masikini na wana roho mbaya

Sent From Ikulu-Magogoni street
 
Back
Top Bottom