mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,403
- 23,201
Umepanic just chillMaoni ya kijinga lazima yapuuzwe
Umepanic just chillMaoni ya kijinga lazima yapuuzwe
Hizo ni hisia zako tuUmepanic just chill
Chizi mapicha anapost upuuzi wa wajinga wenzie
Sahihi mkuuKitabu usichokielewa ujue hujatungiwa wewe amini amini nakuambia katika watanzania milion 45 mnaomchukia diamond hamzidi milion 15 na ndio maana badala ya kushuka kama mnavyomtabiria ndio anazidi kupanda
Daah chuki mbaya sana.wewe ni mama dai nn mpaka uumie hivyo unauhakika kama ni wake?Diamond kaniuzi kumkataa mtoto wa Hamisa Mobeto
Kibaya zaidi hapa hakuna ushindani wa pesa na wala kiba na diamond hakuna mwenye shida ya japo wanaendelea kuzitafuta