mbona umeng'ang'ania sana hiyo kitu wewe?
Inanikumbusha DHW na Jambochat!
ndo hasa ninayoitaka on top ya hivyo vingine.
Utajionea mwenyewe, siku tutakapokutana nitakuwa niko nusu mlingoti tayari.
Wait and see!
Ulikuwa Ushazaliwa java live Chat Zina raha Sana hii Jamii sielewi kwanini wameiondoa Live Chat.. na Game Kama Trivia na Uno Radio Music n.k Ilikuwa Raha Sana...hebu fafanua zaidi,inawezekana nilikua sijazaliwa
Ulikuwa Ushazaliwa java live Chat Zina raha Sana hii Jamii sielewi kwanini wameiondoa Live Chat.. na Game Kama Trivia na Uno Radio Music n.k Ilikuwa Raha Sana...
Kabakabana Vipi Ushapona Ugumba? nilisikia unatafuta Mtoto na Hupati eeh!
hujatimiza masharti
Au Sababu bado u mdogo... Pole pole Tafuta Atapatikana tuhapo nishakupata.Bado niko kwenye matibabu ndugu yangu
masharti ya kukukwea au ya kwenda kuuza nyago na wewe?
wewe ni ME au KE?
Au Sababu bado u mdogo... Pole pole Tafuta Atapatikana tu
nafasi ni chache jaribu bahati yako unaweza ukaibuka mshindi
hahaha nafasi ni chache au nafasi ni moja tuu? au ndio kusema unataka kuwapa kampani watu
wachache kwa siku hiyo moja? anagalia usijezua songombingo. dah!
hamna songombingo lolote litakalotokea kumbuka kupanga ni kuamua!
kampani napenda ila kitu kimoja tu kina nishinda kumeet na stranger ndio taabu sana kwangu..
kila la kheli shostito..
teh teh teh tehhahaha nafasi ni chache au nafasi ni moja tuu? au ndio kusema unataka kuwapa kampani watu
wachache kwa siku hiyo moja? anagalia usijezua songombingo. dah!
unaenda na washikahi wawili,ukiona ni jike unawambia washikaji waondoke ili ubaki nayeshosti wapi?
Jidume hilo...
nimekupata. kwa hiyo nafasi ni zaidi ya moja? dah!