TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,592
- 10,891
mkuu kakamega sioni kitu supersport wameamua kutuonyesha wovz na bamingham... urojo n'tupuNdio vileee
tunaendelea kuangalia "el classico'
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu kakamega sioni kitu supersport wameamua kutuonyesha wovz na bamingham... urojo n'tupuNdio vileee
tunaendelea kuangalia "el classico'
Hahah kamanda! Hatimaye nimeuanza mwaka... Dah! Naki nakuachia rasmi asee... BTW unajua mamake Salu naye ka-RIP? Huu mwaka noma mazee.kamanda...
pole na msiba, pole kwa kuugua na pia pole sana kwa kukosa kinywaji sababu ya dozi
mawili toka kwangu kama kakako mkubwa
badili mashuka, unaporudi kitandni na hujabadili mashuka homa huongezeka:A S-omg:
acha kurudi kitandani, wenzio tuko bize na makochi and we get same results
:welcome:
Kukusalimia siwezi kujiziwiamarhabaa..ial sio vizuri kunisalimia sipo comfortable kusalimiwa ..nimeipenda avator yako.
mkuu kakamega sioni kitu supersport wameamua kutuonyesha wovz na bamingham... urojo n'tupu
Kukusalimia siwezi kujiziwia
sema hutaki kuamkiwa...
Nimeamua kujitandia kwa mtindo huu kwanza.
Huku kwetu netiweki imeishia pale zero pub. Lionnel hajawatengua watu viuno bado? Ngoja niperuzi soccernet. Natamani sana kumwona Mou akilia.mkuu kakamega sioni kitu supersport wameamua kutuonyesha wovz na bamingham... urojo n'tupu
Hahahaha, Shkamoo Uncle. Habari ya Aunty yangu? Mwambie na mimi najitandia kama yeye sasa hivi. No kuonesha tabasam tena...Mwali naomba kuuliza, hii "Mwali" ni kifupi cha "mwalimu" labda?:A S-coffee:
You better keep your promise, darling.
Hahahaha, Shkamoo Uncle. Habari ya Aunty yangu? Mwambie na mimi najitandia kama yeye sasa hivi. No kuonesha tabasam tena...
Hommie hapa masihara na kurushana kuzingatiwa ama?
I will super darling....niko na Kaizer tunaangalia mechi then atanipitisha hapo kwako...mwambie bibi nitalala hapo!
RM washapiga kimoja. Cant stand it. Ngoja nilog off. Unipe matokeo kama messi atawatengua viuno. I believe you know where you'll find me. And please don tell no body... Deal?I will super darling....niko na Kaizer tunaangalia mechi then atanipitisha hapo kwako...mwambie bibi nitalala hapo!
Mwambie Aunty namtakia usiku mwema. Mdogo wangu yupi hasa tunazungummzia, Husninyo? nadhani amesha lala.Marhabaa mpwa wangu....Aunt yako hajambo, hujanijibu swali langu hapo juu lakini. Umenionea wapi mdogo wako?
When you see snakes buying bikes, just assume they have figured out how to pedal.
kwa vile wewe u mjukuu senior, hakuna haja ya taarifa...pale ni kama nyumbani tu...ngoja tumalizie El classico nakupeleka bila wasi wasi kisha mimi huyoooo narudi zanguoa
Mwambie Aunty namtakia usiku mwema. Mdogo wangu yupi hasa tunazungummzia, Husninyo? nadhani amesha lala.
Mwali si mwalimu uncle, Mwali ni mwali tu... :lol:
Alafu mbona umenukuu signature?
RM washapiga kimoja. Cant stand it. Ngoja nilog off. Unipe matokeo kama messi atawatengua viuno. I believe you know where you'll find me. And please don tell no body... Deal?
Husninyo aliahidi kuosha vyombo kesho ndio maana kalala mapema. Mi nitaamkia kwa somo kuendelea kufundwaewaaa, nikimaanisha huyo huyo Husninyo, ndo nikimuulizia, kitambo kidogo sijamwona kibarazani hapa..kumbe keshatangulia kulala, vizuri
Nimependa kumbe hii ni Mwali kwa maana yake halisi....basi tuwaaache mwali na wali wa liwale wale wali wao
Signature nimeipende, imebeba ujumbe niliotaka kukupa Mwali na Mpwa wangu....kuwa na wapwa wawili raha sana....:A S-coffee:
Asante mkuu..msome Babu kwenye message alonijibu....unajua pa kunipeleka kweli??