Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaendelea pole pole, hatujafundishwa vya kuulizana bado... tunamsubiri KlorokwiniNiulize kwa kiarabu. Au somo umepiga mswaki?
Najisikia vibaya...!! naona kama sipendwi na Babu kama zamani......!!
Nisamehe nilipokosea Babu...please!
Babu anaenda na wakati
Sisi wa kale run
Tume wekwa kando kwa sasa .
Yaani ni kama yule king wa england miaka ile
King H
Karibu Babu
Mie Bibi nimejiandaa haswaa.
Ntakueleza pembeni watoto wasisikie.
Furaha kusikia umepona.
Kumbe ndo hayo, basi mie kwa roho safi namuacha na utaratibu wake mpya....!
All the best Babu...!
Sijambo. Shkamoo mtakatifu.
Ukinionea RussianRoulette mwambie a-come this way.... Kuna ukaguzi flani hivi sikumfanyia. Afu yule shem wangu wa ukweli.... Damn nshaanza kusahau majina ujue. Yes, AshaDii mwambie ana kesi ya kujibu... Kama mtori ulimshinda si angenipikia uji tu....
Hahah hommie bana huchezi mbali. Sasa hapo umenikumbusha ile mitihani ya multiple choice.... Ni utata kwa vichwa na furaha kwa vilaza lolSasa Hommie.....dah....ilitokea mimi na wewe tunaumwa serious wakati mmoja....hapo uji na mtori vingeenda wapi?:shock:
Umewahi kuona THE TUDORS? AU kusoma history ya King Henry ?
Hahah mzee mwenzangu ahsante sana... Hii pijo yangu thrii oo foo bado inaniweka mjini.... Kale kawimbo ketu wakakumbuka? Niko kilimani naranda, nangojea pijo kupanda....Karibu tena mzee mwenzangu,
Hata Land rover 109 bado zinadunda,
Babu DC!!
Yani afu weye usipendwe kumbe atapendwa nani? Na ule mkongojo ulonnunulia Sarajevo bado nnao, ila sema umepinda kiduchu. Hebu njoo uuone labda waweza pata bashasha ukanigea mwingine...Najisikia vibaya...!! naona kama sipendwi na Babu kama zamani......!!
Nisamehe nilipokosea Babu...please!
Yani afu weye usipendwe kumbe atapendwa nani? Na ule mkongojo ulonnunulia Sarajevo bado nnao, ila sema umepinda kiduchu. Hebu njoo uuone labda waweza pata bashasha ukanigea mwingine...
Wapendwa salaam..... Baada ya vita kali na mazoezi ya kutosha: mie ODM wa wajukuu, mashemeji, wapwa, mahommies na mafellow tablets niko standby kuanza mbio za kurudi kwetu pazuri MMU na Chit Chat pa ukweee. Nahitaji bado sala zenu ili nirudi kwa ushindi. Nani atampokea babu? This time hakuna cha babu kurudi kitandani.... Nimeshtuka! Orayt ODM... On your mark.... Get set.... Gooo!
aisee....:A S confused: