Mwali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 7,014
- 5,602
Unalala kwa babu? Unaenda kukaguliwa?I will super darling....niko na Kaizer tunaangalia mechi then atanipitisha hapo kwako...mwambie bibi nitalala hapo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unalala kwa babu? Unaenda kukaguliwa?I will super darling....niko na Kaizer tunaangalia mechi then atanipitisha hapo kwako...mwambie bibi nitalala hapo!
Husninyo aliahidi kuosha vyombo kesho ndio maana kalala mapema. Mi nitaamkia kwa somo kuendelea kufundwa
I know...I know Michelle......babu presha inapanda sababu ya mpira....hana zaidi
Nitamwambia. Ukiota yangu nambie pia. Aunty tayari ananipa somo kule jukwaa la kikubwa.Akiamka mwambia asianze kazi hadi uncle wake niamke, nitaoteshwa usiku huu mambo mazito juu yake....
Mwali utaendelea kufundwa na Aunti yako bila wasi wasi....
Unalala kwa babu? Unaenda kukaguliwa?
Kwa kweli mi siendi... ukitoka huko njoo unambie ukaguzi huo unahusisha nini na nini alafu ndio nione kama nitabadilisha mawazo.Vyote my dear...unaanza ukaguzi then kulala...utaenda lini kwa Babu??
wNitamwambia. Ukiota yangu nambie pia. Aunty tayari ananipa somo kule jukwaa la kikubwa.
Kwa kweli mi siendi... ukitoka huko njoo unambie ukagusi huo unahusisha nini na nini alafu ndio nione kama nitabadilisha mawazo.
Haya mkuu,utanikuta hapa nje na AD....its time babu aachane na mpira ndo maana anaugua!
Namfahamu Uncle, si yule mwana wa yakobu alietoa tafsiri ya ndoto ya firauni kuhusu n'gombe saba zilizo konda na n'gombe saba zilizo nona?w
asi wasi wangu ni kuwa na hivi bado Mwali, unaweza kusikia lakini usiielewe ndoto yenyewe ukalazimika kuwatafuta wafasiri. Unamfahamu Yusufu?
Usiku mwema dia.Poa poa lost twin, ni raha kwa babu wewe....nitakuhadithia kesho basi...bye for now!!
Sasa weye kumbe waogopa nini? Babu au ukaguzi? Hebu acha woga....Ntakuchapa na mkongojo wangu, ohooo.Kwa kweli mi siendi... ukitoka huko njoo unambie ukaguzi huo unahusisha nini na nini alafu ndio nione kama nitabadilisha mawazo.
Huo ukaguzi ndio unanipa mashaka mimi... kama kuja atanileta Aunt yangu AshaDiiSasa weye kumbe waogopa nini? Babu au ukaguzi? Hebu acha woga....Ntakuchapa na mkongojo wangu, ohooo.
Namfahamu Uncle, si yule mwana wa yakobu alietoa tafsiri ya ndoto ya firauni kuhusu n'gombe saba zilizo konda na n'gombe saba zilizo nona?
Karibu sana babu! Nimefurahi kukuona! Hakika nilikumiss...............
Mi mwenyewe yusufu hapa. pia kuna kujana mmoja wa humu JF alisema nikiwa na shida ya kutafsiriwa ndoto niende kwake atanisaidia... lolewaaa, sasa kwa jinsi ulivyo mteke, nikiota ndoto yako, si utamtafuta "Yusufu" wako? lol
Haya yote ni mapenzi ya Mungu na kazi ya sala zako rafiki. Nami nlikukosa sana. Hujalala mpendwa? Mwenzio nakunywa dozi hapa.