Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Mods tafadhali unganisheni hizi threads za Prez-elect Obama maana ziko nyingi na ziko kila sehemu as of today zimebaki siku 75 kabla ya kuapishwa tuwe na thread moja ya kujadili watu atakaowachagua kwenye serikali yake na vitu kama hivyo.
Ahsante.
Wazo zuri sana. Inachosha sana kufuatilia habari za Obama; kwa sababu inabidi ufuatilie threads kibao!