Ushasahau enzi za Ben aliua Watanzania wangapi Zanzibar?Mbona mnaanzia mbali kufagia tuanzie hapapa nyumbani ndipo tutoke nje
Hapa Kwetu Tanzania ni nani Rais ambaye ni katili kyliko awamu zote?????
Mimi nitaaza na jibu kabisa;
Awamu tuliyo nayo sasa ni katili kupita zote tumeshuhudia mauaji Arusha,Mbeya,Nyamongo na Dodoma juzi ambako hata serikali na vyombo vyake haijasema imeua wanamchi wangapi na iliyojeruhi haijasema Ila jua kuwa ni wengi maradufu.
Naheshimu mawazo yako lakini ukweli ni kwamba wazungu ndio wanaofanya Obama aonekane hafai. Angalia Republicans wanavyowaponda weusi na sera zao za kibaguzi. Wakati mgumu Obama lazima awe nao kwani wazungu wengi hawajakubali bado kuongozwa na mtu mweusi. Watch MSNBC utajua zaidi na si FOX News au CNN mkuu. Kuna mengi ya kupingana katika vyombo vya habari. Swala la Gaddafi hata angekuwa nani rais wa Marekani lingetokea tu. Western countries walishamwona ni tishio kwao na Africa kwa ujumla. Tusilaumu Marekani peke yake kuna nchi nyingi sana ziko nyuma ya hili jambo Europe,N.America,Middle East, Asia na hata Africa yenyewe. People lets be fair sio kuangalia upande mmoja wa shillingiObama ni mnafiki mkubwa sana.... na adui wa Africa.. Pakawa unaposema anapendwa nchini kwake embu angalia vizuri vyombo vya habari huko.. ana wakati mgumu sana tu. Kuhusu sera za marekani ni kweli kuna vitu ambavyo hata yeye hawezi kuvibadilisha akijaribu kufanya hivyo watamfanya kama walivyomfanya John Kennedy.
Lakini kuhakikisha amemuuwa Gaddafi kweli kamwe Obama and American will never be my favoriteds..
gadaff is dead for goodNaheshimu mawazo yako lakini ukweli ni kwamba wazungu ndio wanaofanya Obama aonekane hafai. Angalia Republicans wanavyowaponda weusi na sera zao za kibaguzi. Wakati mgumu Obama lazima awe nao kwani wazungu wengi hawajakubali bado kuongozwa na mtu mweusi. Watch MSNBC utajua zaidi na si FOX News au CNN mkuu. Kuna mengi ya kupingana katika vyombo vya habari. Swala la Gaddafi hata angekuwa nani rais wa Marekani lingetokea tu. Western countries walishamwona ni tishio kwao na Africa kwa ujumla. Tusilaumu Marekani peke yake kuna nchi nyingi sana ziko nyuma ya hili jambo Europe,N.America,Middle East, Asia na hata Africa yenyewe. People lets be fair sio kuangalia upande mmoja wa shillingi
gadaff is dead for good
YES!Everyone else is on the waiting list, including you, Bush, Obama and surely me.
Wewe inaonekana una Pepo la uuaji utatamaliza watu bure kwa Imani zako potofuYES!
why NOT???
mimi nipo tayari kufa to get america and israel flourish
Wewe ni Mwamerika au muisraeli?YES!
why NOT???
mimi nipo tayari kufa to get america and israel flourish