Obama na Kikwete: Wanafanana?

No way Obama is thousands kilometres away think of vastiness of USA then think of Tanzania then and compare again m sorry for this hii ni sawa na kufananisha KIFO na USINGIZI
 
Mmoja alisema "Yes, We CAN......."

Mwingine akasema "Ukitaka kula, kubali uliwe kidogo......."

attachment.php
 
Kwa yeyote anayejua agenda za Illuminati,kwamba Obama ni stooge wao is obvious. Na pia ni wazi kwamba Kikwete anatumiwa na Obama kutekeleza kazi alizopewa na mabwana zake(the Illuminati).Kama hivyo ndivyo,ni lazima kuwe na similarities katika utendaji wao.Hata hivyo sidhani Kikwete anajua kwamba anatumiwa kama karai na Obama kutekeleza agenda za Illuminati.
Jamani kila nikiwasikiliza wapinzani wa obama hasa donald trump
wanavyo mponda obama na kumpinga najikuta nawaffaninisha na wapinzani wa kikwete
hapa bongo....sasa najiuliza je wanafanana???????

Binafsi naona kuna mfanano fulani hivi

1.kikwete rais wa 4 tanzania,obama wa 44 marekani

2.kikwete ari mpya,nguvu mpya na kasi mpya
obama yes we can.change...

3.kikwete now anaonekana kwa wapinzani wake muislam sana au mdini
obama anahisiwa kuwa muislam na republicans wengi

4.kikwete anatuhumiwa kuwekwa madarakani kwa pesa za mafisadi
obama anadaiwa kuwekwa madarani na wayahudi matajiri
toka alipokuwa senator chicago...

5.kikwete aliingia kwa matumaini makubwa labda kupita hali halisi
obama hivyo hivyo

6.kikwete anadaiwa kuwa hashauriki,haambiliki...
Obama wapinzani wake wanamwita bigheaded,anajiona ana akili sana..

7.kikwete ameondokewa na watu wa mwanzo ,timu yake ya mwanzo kuingia nayo i
ikulu....
Na obama nae zaidi ya watu watano wamejiuzulu so far....wakiwemo
top economists wawili.....

8.kikwete anadaiwa kuwa kilaza na wapinzani wake,hakufaulu kwa kiwango
alipokuwa udsm....
Obama kwa mujibu wa donald trump hakuwa na sifa za kusoma harvard kabisa
ni kilaza pia...

9kikwette ..hali ya kiuchumi na inflation ni ngumu kuliko kabla hajaingia ikulu
ukitazama bei za vyakula kwa mfano na ajira..
Obama..unemplyoyment ni kubwa mno.ajira bado sana,hali bado mbaya kiujumla

10.kikwete .wanaomtetea mfano faizafoxy wanatoa very impressive statstics mfano
kujenga barabara na vyuo na shule nyingi kuliko rais yeyote before..
Obama kwa mujibu ya wanaomtetea ndie rais mwenye mafanikio ya kihistoria kwa muda mfupi kuliko wote
before.wanataja healhtcare bill,kubail out detroit car industries,ku avoid depression..
Kumshughulikia osama na kadhalika....

11.kikwete alipoingia alionekana more of a uniter na sasa anaonekana kama
a divider zaidi....ccm inagawanyika,watu wanagawanyika kidini,muungano mgawanyiko n.k
obama pia alionekana a uniter,bila kujali vyama,rangi na kadhalika..
Sasa anaonekana a divider,wanaompinga wanaonekana wabaguzi wa rangi,mfano donald trump
republican na democrats wamegawanyika na kadhallika.....

12.orodha ni ndefu ya mfanano....nyinyi mnaonaje???????????
 
Halafu obama ana sifa za kijaluo,mfani hiyo ya kujiona ana akili ni sifa ya wajaluo hiyo<br />
so ni sifa ya kikabila<br />
na kikwete nae ana sifa la kabila lake ,sifa ya kupenda mzaha mzaha sana
<br />
<br />
mkuu the boss,tutake radh wajaluo,hiyo tabia ya kujiona hatuna mkuu.i wont mark ya words unless you asure me dat you are from kagera(wajukuu zangu,da haya people)
 
Jamani kila nikiwasikiliza wapinzani wa obama hasa donald trump
wanavyo mponda obama na kumpinga najikuta nawaffaninisha na wapinzani wa kikwete
hapa bongo....sasa najiuliza je wanafanana???????

Binafsi naona kuna mfanano fulani hivi

1.kikwete rais wa 4 tanzania,obama wa 44 marekani

2.kikwete ari mpya,nguvu mpya na kasi mpya
obama yes we can.change...

3.kikwete now anaonekana kwa wapinzani wake muislam sana au mdini
obama anahisiwa kuwa muislam na republicans wengi

4.kikwete anatuhumiwa kuwekwa madarakani kwa pesa za mafisadi
obama anadaiwa kuwekwa madarani na wayahudi matajiri
toka alipokuwa senator chicago...

5.kikwete aliingia kwa matumaini makubwa labda kupita hali halisi
obama hivyo hivyo

6.kikwete anadaiwa kuwa hashauriki,haambiliki...
Obama wapinzani wake wanamwita bigheaded,anajiona ana akili sana..

7.kikwete ameondokewa na watu wa mwanzo ,timu yake ya mwanzo kuingia nayo i
ikulu....
Na obama nae zaidi ya watu watano wamejiuzulu so far....wakiwemo
top economists wawili.....

8.kikwete anadaiwa kuwa kilaza na wapinzani wake,hakufaulu kwa kiwango
alipokuwa udsm....
Obama kwa mujibu wa donald trump hakuwa na sifa za kusoma harvard kabisa
ni kilaza pia...

9kikwette ..hali ya kiuchumi na inflation ni ngumu kuliko kabla hajaingia ikulu
ukitazama bei za vyakula kwa mfano na ajira..
Obama..unemplyoyment ni kubwa mno.ajira bado sana,hali bado mbaya kiujumla

10.kikwete .wanaomtetea mfano faizafoxy wanatoa very impressive statstics mfano
kujenga barabara na vyuo na shule nyingi kuliko rais yeyote before..
Obama kwa mujibu ya wanaomtetea ndie rais mwenye mafanikio ya kihistoria kwa muda mfupi kuliko wote
before.wanataja healhtcare bill,kubail out detroit car industries,ku avoid depression..
Kumshughulikia osama na kadhalika....

11.kikwete alipoingia alionekana more of a uniter na sasa anaonekana kama
a divider zaidi....ccm inagawanyika,watu wanagawanyika kidini,muungano mgawanyiko n.k
obama pia alionekana a uniter,bila kujali vyama,rangi na kadhalika..
Sasa anaonekana a divider,wanaompinga wanaonekana wabaguzi wa rangi,mfano donald trump
republican na democrats wamegawanyika na kadhallika.....

12.orodha ni ndefu ya mfanano....nyinyi mnaonaje???????????


hawafanani hata tone
 
wote wanatumiwa na secret societies kama Free mansons. Illuminati. Knitts of Malta, Mafia na wengine
 
kikwete was representing the tounger generation..when he was elected
 
Huyu dada alimlima Maswali Magumu George Bush na akaishia kufukuzwa kufanya kazi CNN na Viza yake ya kazi kufutwa.

Vitu vya ajabu sana sana dunia hii ya wanaojiita wana Demokrasi........

talk_with_tumi_img.jpg
Tumi Makgabo

Sikonge, can you check your records again? Last time I checked mine ni kwamba Tumi aliolewa SA na hivyo kuamua kurudi nyumbani.
 
Mkubwa umejitahidi sana kuja na mifano yako linganishi juu ya Obama na Kikwete! Sikupingi kwa haya yote uliyoyaandika kwa kua haya ni mawazo yako, hisia zako na ulewawako ulivyo juu ya hawa watu. BUT kuna kitu kimoja muhimu ambacho hujakigusia, ni kitu ambacho kingeonyesha tofauti kubwa juu ya watu hawa, hapa nazungumzia MAZINGIRA YA KISIASA yanaowazunguka walengwa hawa.. Hali ya kisiasa ya marekani na ushindani anaokumbana nao Obama ndio yameleta haya yote! Jaykey ni kilaza, ni kosa kumlinganisha na Obama!
 
Tofauti kubwa kati ya wa2 hawa wawili ni kwamba obama ni bonge la intelligent man in da world compare to aliyekuwa kilaza darasa la mwaka wao
 
Mwinyi alisema kama Nyerere ni Kilimanjaro basi yeye ni kichuguu, na mimi nasema kama Obama ni Kilimanjaro basi Kikwete ni mchwa!
 
Huyu mmoja ni mlima , mwingine kichuguu, kuna point nimeina hapo juu nzuri nimeipenda TUSIFANANISHE MIMBA NA KITAMBI. !
 
8e9u9992.jpg
KATIKA HII PICHA KIKWETE ANAONEKANA HAJIAMINI NA OBAMA ANAJIAMINI. KIKWETE ANAONEKANA HAAMINI KILE ANACHOZUNGUMZA NA OBAMA ANONEKANA YUKO MAKINI NA HAAMINI KILE KINACHOZUNGUMZWA NA KIKWETE. HIVYO HAWAFANANI ATA KIDOGO LABDA KWA MAJINA YA NAFASI ZAO....RAISI, KIWETE ANTOKA BAGAMOYO NA OBAMA ANATOKA ..................
 
Mmoja alisema "Yes, We CAN......."

Mwingine akasema "Ukitaka kula, kubali uliwe kidogo......."

attachment.php
THIS IS VERY DANGEROUS MBONA KWENYE KAMPENI HUWA HASEMI KAMA HAJUI TANZANIA KWANINI NI MASIKINI? SASA KAMA HAJUI KWELI ANAWESA KUTOA MAWAZO MBADALA YA KUONDOKANANA NA HALI HIYO? ANAFANYA NINI SASA KAMA HAJUI HALI HIYO INASABABISHWA NA NINI? NI KAMA VILE BABA AWAAMBIE WATOTO NA MAMA YAO KUWA HAJUI KWANINI WATOTO WANAUTAPIAMLO. KWA HIYO WALIMCHAGUA RAISI ASIYEJUA KUWA ATAIFANYIA NI NI NNCHI YAKE. EE ALAH TUPE HEKIMA YA KUONDOKANA NAYO HAYA MADHILA. KUWA NA WATU KAMA HAWA 10 TU KATIKA NCHI TUMEUMIA
 
Back
Top Bottom