Deodat
JF-Expert Member
- Sep 18, 2008
- 1,274
- 272
Hilo pozi obama kama anamu enjoy hivi ...lol
wanasema obama ana kawaida ya kujiona ana akili saana
Kaka embu angalia hata Rais wako alivyokaa,.......yaani unaiona 'stage fright' waziwazi......Kikwete anatetemeka, jamaa lazima amu-enjoy!