mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,161
- 802
Si angempiga tu, kama unamuweza inaanza tu, siku nyingi ni vitisho vitisho tu.
Marekani chini ya Barack Hossein Obama ina uwezo wa kutishia na kupiga, nafikiri upolisi wa dunia kwa marekani umetosha na sasa ifanye kwa vitendo.
Ipige, inatuhadaa, kama ataigusa Urusi atazisababishia matatizo makubwa baadhi ya nchi za Ulaya.
Nionavyo mimi uwezo na vitisho vya Marekani ishafika mwisho.
Marekani chini ya Barack Hossein Obama ina uwezo wa kutishia na kupiga, nafikiri upolisi wa dunia kwa marekani umetosha na sasa ifanye kwa vitendo.
Ipige, inatuhadaa, kama ataigusa Urusi atazisababishia matatizo makubwa baadhi ya nchi za Ulaya.
Nionavyo mimi uwezo na vitisho vya Marekani ishafika mwisho.