Obama hakuzaliwa marekani??????

Na akishindwa utalalamikia ubaguzi?

Hapana, Akishindwa itakuwa kihalali pia sababu wananchi watakuwa wameamua. Huko hakuna mizengwe kama huku kwetu japo uchaguzi wa mwaka 2000 kidogo ulikuwa na vimeo.

Tatizo la Republicans mwaka huu naona wamejikita zaidi na hizi siasa za maji taka kwamba Obama sio mmarekani halisi blah blah...ambazo sidhani kama zitawasaidia sana kuvutia wapiga kura wengi. Hawa wapiga debe wao kina Rush Limbaugh na Donald Trump wanawashusha chini zaidi badala ya kuwapandisha!
 
Baraka Huseni Obamaeli Mushi, so this is how the original birth certificate portrays the name of US President. Au?
 
Hillary is the Secretary of State...working for Obama Administration. So what you are asking is irrelevant. By the way, I did not memorize what you call Talking Points...those are the facts my friend and he will run on that. Can't wait for the debates...


Teh teh teh...good try for memorizing those talking points.

But what record did Obama have when he ran for president as compared to Hilary?
 
Mkuu, OBAMA alizaliwa kisiwa cha AWAII Honolulu-mama yake mzungu mmerikani mweye asili ya ki-Irish na kiyaudi alikutana na baba yake Obama shuleni - yaani wote walikuwa wananafunzi Chuo Kikuu.

Hivi inaingia akilini kwamba Baba yake Obama angekuwa na pesa za kuweza kumsafirisha mama yake Obama na kumleta Kenya ili ajifungue? Jibu na hapana; sasa kwa nini anasakamwa na akina Trump na genge lake kupotosha RAIA wa Merikani na stori za kuchonga tu! Jibu lake linajikita kwenye mambo mawili, la kwanza: Ubaguzi wa rangi! yaani kuna Wazungu wengine wanajiona ni fedhea kutawaliwa na a-coloured President,hawataki kabisa kusikia hilo. La pili ni kwamba matajili wengi wa Merikani ni wanachama wa Republican hawataki kabisa siasa za chama cha Democrat cha kuwainua wanyonge na matajili kutozwa kodi kubwa ili zisaidie wanyonge.

Kwa kifupi siasa za maji taka kuhusu OBAMA zinatokana na sababu nilizo taja hapo juu. Ukweli unabaki pale pale kwamba OBAMA ni raia alisi wa Merikani.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom