The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,057
- 115,410
Kila nikifuatilia hii issue ya wapi alizaliwa Obama huwa
nashangazwa mno na mambo meengi..
1.kwanza inawezekana mtu kuidanganya Marekani nzima na
mashirika yake ya upelelezi?
2.pili kama jibu ni hapana na alizaliwa Marekani kwa nini watu wenye heshima zao
kama Donald Trump hawakubali kuamini?
3.mbona hili suala haliishi?
saa juzi kuna mtu anadai cheti cha Obama ni feki....na kina social security ya mtu mwingine..
yaani hili jambo linanishangaza hadi basi
nyinyi mnaonaje??
nashangazwa mno na mambo meengi..
1.kwanza inawezekana mtu kuidanganya Marekani nzima na
mashirika yake ya upelelezi?
2.pili kama jibu ni hapana na alizaliwa Marekani kwa nini watu wenye heshima zao
kama Donald Trump hawakubali kuamini?
3.mbona hili suala haliishi?
saa juzi kuna mtu anadai cheti cha Obama ni feki....na kina social security ya mtu mwingine..
yaani hili jambo linanishangaza hadi basi
nyinyi mnaonaje??