Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,517
- 1,428
Hiyo 900 ya nini au ndio kupigwa bao? halafu nani kanywa bia mbili kati yako na mdau?
nimecheka kweli. hiyo hesabu haijakamilika, hiyo tsh 900 inatokana na huduma gani ?
900 ni kwa ajili ya bahashishi. Kwa kuwa hatuna kawaida ya kutoa "tips", wameiweka hapo kabisa.hiyo mia tisa wamemchomekea hahahaaaas
Mi hua siingii gest za 5000, nikuanzia 15,000 kwenda juu hiyo itakuwa uswazi kinoma na haina ac halafu feni linalia pa pa pa pa pa pa pakapapa pa pa. Kitanda kinalia kwechukwechukwechukwechu. Pua lazima uibane kidogo upumulie juu juu maana harufu. Halafu kwenye dust been lazima ukute kuna ndom zilizotumika.
Mkuu sure! hata mimi huwa siendi guest za 5,000. maana unaweza ukaondoka nammagonjwa na kujitibu ika cost 50,000/=