Obama atoa fundisho kwa Magufuli

Obama atoa fundisho kwa Magufuli

How can you prove something that you don't have!
Unanipotezea muda wangu mkuu! Wewe jua tu kua siwezi kukuambia lolote kuhusiana na Mimi maana hustahili kunifahamu! Uwe na siku njema eeh! Kha!
 
Obama naye ni intelectual? Huyo Obama maisha yake yote kasaidiwa na Affirmative action ambayo ni quota system USA, mpka uraisi wenyewe kaupata shauri ya quota system, kwa maana nyingine ni upendeleo maalumu wanaopewa watu weusi nchini USA, hivyo hawashindanishwi sawa na jamii ya watu wengine kama Waasia,Wazungu na wengineo!

41ZiflDe7WL.jpg
Poor you!
 
Hata miye nategemea atoe hata sehemu tu ya chapisho lake la PhD (lenye kurasa 112) kama makala kwenye mojawapo ya majarida ya Sayansi. Utafiti wake KWELI ni MUHIMU kusaidia uondoaji wa KUTU kutuia maganda ya Korosho.....
Mkuu atoe nani thubutu! !
 
Hapa kuna tofauti kubwa sana, Obama ni mzao wa upendeleo maalumu kuanzia Shule, Chuoni mpka kazini inaitwa Affirmative action! Yaani watu weusi au wanaojiita weusi kama Obama, wanapewa upendeleo maalumu kwenye mambo mengi kwa mfano kuingia elite Universities kama Yale, Harvard &Co. Mzungu au Mchina inabidi akomae na kupata maksi za juu sana lkn mweusi akiwa na wastani tu anachuliwa, ni kama akina Chenge, Sumaye tu & Co. wote hawa waliingia elite Unis za USA kwa njia hiyo lkn siyo kushindanishwa kwenye uwanja ulio sawa na Binadamu wengine ktk sehemu nyingine za Dunia!
Acha upumbavu,wote tuliona battle iliyokuwepo kwenye kugombea urais wa marekani!Uwanja ulikuwa wazi!
Hebu sema hapa ni upendeleo gani alioupata?
 
nauliza kwa elimu hii ya bongo chemistry ya mwaka 54 tunaisoma mpaka leo acha tu atumbue majipu
Kwani wewe kwa elimu yako huwezi kutoa chapisho? Au ulisaidiwa kuandika hata thesis/dissertation yako? Manake kweli kuna watu wapenda miteremko hadi basi!!
 
Kweli ukisikia kuishiwa hoja ndo huku! Kitu kinachoitwa ushauri si amri wala si kitu cha lazima kutekelezwa hususani pale mshauri anapotoa ushauri ambao hakuombwa bila hata ya kujua anae mshauri kwa wakati huo anawaza nini au anataka kufanya nini? Siioni mantiki ya vijana wa DJ kua busy na kumshauri Raisi ilihali wakijua kua Raisi anao washauri wa kutosha tena wanaolipwa kwa kazi hiyo badala yake wangeelekeza ushauri wa kwa DJ maana inaonyesha hana mshauri yeyote maana mpaka mbeba mikoba wake kapotea bila yeye kujua kapotelea wapi na kwanini apotee?
 
Pitia cv ya Obama ndo utajua sio kuja na empty words.Hata kama kabebwa(siamini kama alibebwa) lakini nae anabebeka
Obama naye ni intelectual? Huyo Obama maisha yake yote kasaidiwa na Affirmative action ambayo ni quota system USA, mpka uraisi wenyewe kaupata shauri ya quota system, kwa maana nyingine ni upendeleo maalumu wanaopewa watu weusi nchini USA, hivyo hawashindanishwi sawa na jamii ya watu wengine kama Waasia,Wazungu na wengineo!

41ZiflDe7WL.jpg
 
Kwani wewe kwa elimu yako huwezi kutoa chapisho? Au ulisaidiwa kuandika hata thesis/dissertation yako? Manake kweli kuna watu wapenda miteremko hadi basi!!
mkuu mi naweza kutokana na carier yangu lakini ukiangalia maswalaya kisayansi yanhitaji utafiti zaidi ukiangalia sayansi yetu tunayosoma ni outdated ........ kingine wengi wanaandikiwa
 
Kingereza hajui,hayo machapisho atoe kwa kisukuma ama???
Kiingereza sio lugha pekee ya kuandikia dunia ina utajiri wa lugha na zote zinathaminiwa na ndio maana huwezi kuta mfaransa akifagilia Kiingereza au mjerumani wa Japan kijapani na wachina kichina kadharika warusi kirusi kwanini iwe lazima kwa mswahili kutumia Kiingereza na si kiswahili chake kitajulikanaje mbele ya lugha zingine?
 
I have a dream
i have a dream
I have a dream
i have a dream
i have a dream
that one day people will understand that English is just a language and not a measure of intelligence.

even though our Tanzanian pogba ( a PhD holder) is embarrassing us
 
mkuu mi naweza kutokana na carier yangu lakini ukiangalia maswalaya kisayansi yanhitaji utafiti zaidi ukiangalia sayansi yetu tunayosoma ni outdated ........ kingine wengi wanaandikiwa
Hakuna kitu kisichohitaji tafiti, ndio maana tunafeli kwa kudhani kuwa tafiti zinatakiwa kufanywa na wanasayansi tu. Hata hiyo fani yako huwezi tu kujiandikia bila kufanya tafiti, sioni nini Obama aweze kuchapisha na Magu ashindwe, unless kwa ushabiki wetu wa siasa kama kawaida yetu.
 
Obama naye ni intelectual? Huyo Obama maisha yake yote kasaidiwa na Affirmative action ambayo ni quota system USA, mpka uraisi wenyewe kaupata shauri ya quota system, kwa maana nyingine ni upendeleo maalumu wanaopewa watu weusi nchini USA, hivyo hawashindanishwi sawa na jamii ya watu wengine kama Waasia,Wazungu na wengineo!

41ZiflDe7WL.jpg

PhD
 
Hakuna kitu kisichohitaji tafiti, ndio maana tunafeli kwa kudhani kuwa tafiti zinatakiwa kufanywa na wanasayansi tu. Hata hiyo fani yako huwezi tu kujiandikia bila kufanya tafiti, sioni nini Obama aweze kuchapisha na Magu ashindwe, unless kwa ushabiki wetu wa siasa kama kawaida yetu.
hapa si siasa na wala sijamlenga magu mimi nimelenga elimu ya bongoi in general
 
Back
Top Bottom