kindikwili
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 1,862
- 2,876
Obama naye ni intelectual? Huyo Obama maisha yake yote kasaidiwa na Affirmative action ambayo ni quota system USA, mpka uraisi wenyewe kaupata shauri ya quota system, kwa maana nyingine ni upendeleo maalumu wanaopewa watu weusi nchini USA, hivyo hawashindanishwi sawa na jamii ya watu wengine kama Waasia,Wazungu na wengineo!
![]()
Aisee wewe ni bogus wa kiwango cha Jupiter, kwanini obama ndiye apewe upendeleo na si blacks wengine au unajua blacks wameanza kuwepo marekani juzi 2008?. Unauliza eti obama naye ni intellectual au hufahamu hata maana ya kuwa intellectual mkuu, kwani obama kabla ya kugombea urais alikuwa wapi akifanya nini?. Unakuja hapa na kitabu kilichoandikwa na Wazungu tena usikute wale wenye chuki na bl
Obama naye ni intelectual? Huyo Obama maisha yake yote kasaidiwa na Affirmative action ambayo ni quota system USA, mpka uraisi wenyewe kaupata shauri ya quota system, kwa maana nyingine ni upendeleo maalumu wanaopewa watu weusi nchini USA, hivyo hawashindanishwi sawa na jamii ya watu wengine kama Waasia,Wazungu na wengineo!
![]()